Mkwala na Ahoua ni takataka za dampo.Mkwala ni Sifuri 000
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkwala na Ahoua ni takataka za dampo.Mkwala ni Sifuri 000
Wana timu nzuri ila wamekutana na giant wa TanzaniaUbora wa Coastal naona kama imepungua sana msimu huu, sijui labda mbeleni waje wabadilike. Ila sijaiona ile Coastal ya msimu uliopita walikuwa wanautulivu na usahihi mkubwa wa pasi na walikuwa na ukuta na kiungo imara sana.
Huyu nilisema anamikimbio isiyo na faida. Papara nyingii .Mutale hamna kitu.
Huyo ni version ya Kibu DMutale hamna kitu.
Azam mpaka kipindi cha kwanza alikuwa kaishamlamba goli 3Wana timu nzuri ila wamekutana na giant wa Tanzania
Huyo ni version ya Kibu DMutale hamna kitu.
Vp tukufanyie mpango upate kumfariji mgeni?Huyu Debora ananifurahisha jamani 🤣🤣🤣
Wa nini mimi? Nina kaka mzuri wangu atosha.Vp tukufanyie mpango upate kumfariji mgeni?
Tunatengeneza timu badoAzam mpaka kipindi cha kwanza alikuwa kaishamlamba goli 3