Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,359
- 6,568
KAYOKO fala sana...yaani anaacha kutoa foul kwa kibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hii kadi ya Ngoma nibalaa sasaHata mimi nilifikiri itakuwa nyepesi, tutaikamata game kwa asilimia kubwa, imekuwa ndivyo sivyo, sasa coastal wametukamata na usishangae wakasawazisha, mpaka sasa game ni yao.
Amemkazia kabisa.KAYOKO fala sana...yaani anaacha kutoa foul kwa kibu
Bovu sanaPira shirikisho
Hapo mbinu gani zaidi ya kurudisha timu nyuma!!Ngoja tuone mbinu za kocha tukiwa pungufu.
Acha kabisa, sasa tujiandae kupelekewa pumzi ya moto.Na hii kadi ya Ngoma nibalaa sasa
Dakika ni chache, tunaweza kushikilia bombaAcha kabisa, sasa tujiandae kupelekewa pumzi ya moto.
Ngoja tuone.Hapo mbinu gani zaidi ya kurudisha timu nyuma!!
Marefa wengi wa bongo ni Yanga..huyu dogo kayoko mwenye kukodoa macho kama mjusi aliyebanwa na mlango ni Yanga lialiaMh hapa refa sijamuelewa elewa kwenye hii faulo na kadi, ni kama kaipania Simba dakika hizi za meisho
Huyu anaejiangusha kama mcheza mieleka? Marefa washamjuaKAYOKO fala sana...yaani anaacha kutoa foul kwa kibu