Malalamiko FC wanajulikana ni kina nani. Si tumeshawazoea, ni vile tunajenga timu na ikikaa sawa mfumo wenu wa barua za malalamiko utarudi.Tunawakumbusha tuu,sanduku la maoni pale TFF bado halijajaa.
Hiyo timu inayojengwa kila mwaka kama sgrMalalamiko FC wanajulikana ni kina nani. Si tumeshawazoea, ni vile tunajenga timu na ikikaa sawa mfumo wenu wa barua za malalamiko utarudi.
Uzuri sisi Yanga Mabingwa wa kihistoria wala hatutishiki na maneno yenu,sisi tunachojali ni kuchukua Ubingwa kila mwaka na kumkanda kolo.Deportivo la Utopolo wana muendelezo mzuri wa kubebwa na waamuzi.
Tena tushukuru sasa tuna TV tunashuhudia wenyewe, enzi za Radio Tanzania, walikuwa wanafukia yote haya ndiyo maana tulikuwa tunaenda miaka 20 hatujaingiza timu makundi kumbe tuna bingwa wa mchongo.
Timu imara haiibuki kama kuku wa kisasa.Hiyo timu inayojengwa kila mwaka kama sgr
Umevurugwa Mkuu, naona bado una wenge la kufungwa derby!Yanga ni timu iliyoanzishwa na Wachawi wakaa uchi wa usiku, Wapuuzi nyie hamtofika mbali Bahasha za kaki zinawabeba tu Pumbavu zenu.
Punguza ushuzi baridiDeportivo la Utopolo wana muendelezo mzuri wa kubebwa na waamuzi.
Tena tushukuru sasa tuna TV tunashuhudia wenyewe, enzi za Radio Tanzania, walikuwa wanafukia yote haya ndiyo maana tulikuwa tunaenda miaka 20 hatujaingiza timu makundi kumbe tuna bingwa wa mchongo.
Ukweri ndo huoPunguza ushuzi baridi
Uto ni wajinga sana kazi kuhonga tuYanga ni timu iliyoanzishwa na Wachawi wakaa uchi wa usiku, Wapuuzi nyie hamtofika mbali Bahasha za kaki zinawabeba tu Pumbavu zenu.
Diara anacheza AZAM we unaona kawaida kipa kupata hyo adhabu.Unasema wachezaji wa Yanga alafu umemtaja Diara. Yani kisa Diara umeshahitisha wachezaji wa Yqnga hawana nidhamu. Kwahiyo Simba hamjawai kusimamishiwa mchezaji kwa kadi
Kuna siku watamuingiza kwenye mfumo.Mm ni YANGA ika hikinu alosema ni kweli
Gamondi na DIARA hawana nidhamu kabisa kwa refa
Lakini shida inakuja marefa wenyewe ni wangese bila kwenda nao hvyo wanakuharibia mechi yako
Hujiulizi Mbna mechi za kimataifa GAMONDI anakuwa na nidhamu nzuri 7bu kuu marefa wamenyooka hawana Ungese kama hawa wa ligikuu
Juzi tu hapa kuna kipa kala nyekundu mexhi na Yanga. Kumbe na hiyo timu haina nidhamu. Makipa wengi wanapewa kadi za njano kwa ajili wa kupoteza muda. Basi timu nyingi duniani hazina nidhamu kwahiyo ni kawaida tuDiara anacheza AZAM we unaona kawaida kipa kupata hyo adhabu.
Lile si tukio planned kabisa kwani kuna kipa hajui kudaka nje ya box ni red card.Juzi tu hapa kuna kipa kala nyekundu mexhi na Yanga. Kumbe na hiyo timu haina nidhamu. Makipa wengi wanapewa kadi za njano kwa ajili wa kupoteza muda. Basi timu nyingi duniani hazina nidhamu kwahiyo ni kawaida tu
Kumbe hata lile kombe la Dunia Suares kudaka mpira ilikuwa ni planned. Basi hakuna cha ajabu kama mpaka wenzetu wanapanga, Yanga nayo acha ipangeLile si tukio planned kabisa kwani kuna kipa hajui kudaka nje ya box ni red card.