Niamini Mimi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2023
- 270
- 412
🤣🤣🤣,tupo Tanzania bro tawi la malkia!!!Waandishi wetu nao... eti " when you go Zanzibar play with the singida" 😃😃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣,tupo Tanzania bro tawi la malkia!!!Waandishi wetu nao... eti " when you go Zanzibar play with the singida" 😃😃
Vipi ile ya ihefu tulipigwa 2. Kwako kipi bora tushambulie ila tufungwe, au point 3?Mi ni yanga ila aisee sijawahi kuona mechi mbovu kama hii tangia tumpe gamondi timu, mechi nzima hakuna hata shambulizi la maana la open play??? Dah huu mwaka beki na kipa zituokoe tu
Mnasahau mlishangilia moja na prisonYanga makelele tu ila hakuna timu. Simba wakifunga mbili wanasikitika wao wakifunga Moja wanasheherekea.
Kawaida, Simba alitisha misimu minne ikapotea, Yanga imetisha misimu mitatu, hui wa nne pia itapotea, Simba itarudi juu na mzunguko utakuwa huo huo. Kwahiyo sio kiti cha kutisha sana kwa hizi timuNidhamu mbovu na kiburi cha mafanikio haya mambo yanaweza wafanya Yanga wakose ubingwa wa NBC na kutofika mbali club bingwa Africa. Mechi na Simba Boka na Mudathir walikuwa na matukio mawili ya penati ambayo hayakuwa ya lazima, leo tena Muda karudia na wamshukuru refa. Mabishano na refa bila sababu za msingi hadi inakera. Mechi za kimataifa wachezaji wakikosa nidhamu malipo ni makubwa mno. Wakiendelea kucheza hivi naziona sare kadhaa mbele yao.
Yanga gari ndio lishawaka,huu ni mwendelezo kwa misimu kumi ijayoKawaida, Simba alitisha misimu minne ikapotea, Yanga imetisha misimu mitatu, hui wa nne pia itapotea, Simba itarudi juu na mzunguko utakuwa huo huo. Kwahiyo sio kiti cha kutisha sana kwa hizi timu
What a waste of 90 minsVipi ile ya ihefu tulipigwa 2. Kwako kipi bora tushambulie ila tufungwe, au point 3?
Upo sahihiKawaida, Simba alitisha misimu minne ikapotea, Yanga imetisha misimu mitatu, hui wa nne pia itapotea, Simba itarudi juu na mzunguko utakuwa huo huo. Kwahiyo sio kiti cha kutisha sana kwa hizi timu
Weka mbali na marefa.Yanga hii weka mbali na watoto
Weka mbali na KijiliWeka mbali na marefa.
Uzuri unajua jinsi gani kimoja kinavyouma wakati kinaingia.Nyie hawa ndo utopolo aka Mdhamini FC...
Tunawakumbusha tuu,sanduku la maoni pale TFF bado halijajaa.Weka mbali na marefa.
Coastal Union wamenyimwa penati,mtu anashika mpira kwenye 18 halafu refa hana timeWamebebwa
Jionee aibu...Mwaka huu tunahitaji rekodi za unbeaten na clean sheet.