mwarabu feki
JF-Expert Member
- Feb 16, 2023
- 811
- 1,811
Namuona tu Kelvin kijili kajiweka hapo baoTuambizane.
Hivi kuna shambulizi lolote mmeona toka kwa Uto?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namuona tu Kelvin kijili kajiweka hapo baoTuambizane.
Hivi kuna shambulizi lolote mmeona toka kwa Uto?
Wana papatu papatu mno, ni vile hawa coastal si wafungaji ila wametengeneza nafasi nzuri mara nyingi mno kuwashinda.Tuambizane.
Hivi kuna shambulizi lolote mmeona toka kwa Uto?
refa alisaidia msinyukwe chuma ya tatu akapuliza filimbi coastal wakiwa wanaenda kufunga goli la ushindiWana papatu papatu mno, ni vile hawa coastal si wafungaji ila wametengeneza nafasi nzuri mara nyingi mno kuwashinda.
Ndo huyu anachezesha nini leo?refa alisaidia msinyukwe chuma ya tatu akapuliza filimbi coastal wakiwa wanaenda kufunga goli la ushindi
Kwani uto wanataka shambulizi au point 3Tuambizane.
Hivi kuna shambulizi lolote mmeona toka kwa Uto?
Ndo yeyeNdo huyu anachezesha nini leo?
Hatari mno kwa coastal.Ndo yeye
Kwamba vyura tu ndo wamechezeshwa huu uwanja wengine hawachezi?Hii mechi imeletwa kwenye kiwanja hichi kwa mkakati maalumu ili Yanga adondoshe point. Uwanja sio rafiki kabisa kwa aina ya uchezaji wa Yanga
Clear offside usijitoe akiliwametuhujumu
Yanga inaLindwa na Marefa kudaaadeki