Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 24,606
- 39,289
Jana nilikwambia Mods wengi ni kolo.. Soma ubao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jana nilikwambia Mods wengi ni kolo.. Soma ubao
Mpaka unaweza dhani labda hawajashindwa ila ni hawapendi kufunga.Coastal Union wamepata nafasi nyingi sana ila kuzitumia ndio wameshindwa
Mbumbumbu FC unacheka nini?
Mnacheza pira objective, pira GSM.Ukweli mchungu
Sizioni tena zile kampa kampa tena za Yanga
Kwa uwanja huu kampa kampa tena haziwezi kupatikanaUkweli mchungu
Sizioni tena zile kampa kampa tena za Yanga
Sio kila siku ni juma pili .vipi msimamo wa league una uona lakiniUkweli mchungu
Sizioni tena zile kampa kampa tena za Yanga
Kwa uwanja upi huo?Ukweli mchungu
Sizioni tena zile kampa kampa tena za Yanga
Wewe kama nani?Gamondi anapendelea baadhi ya wachezaji plus huko mazoezini msimu huu inaonekana wanatumia muda mwingi kupiga stori tu.
Sijapenda kabisa ninachokiona msimu huu.
Mm ni YANGA ika hii kitu ulosema ni kweliYanga wachezaji wake hawana nidhamu diara suspended kwasababu ya kadi za njano yule kocha wa yanga kama sio waamuzi kukesha GSM basi angekuwa kila mechi anakula njano hana nidhamu hta kidogo.
Kweli, marefa wanafanya makosa mengi na yanajirudia rudia.Mm ni YANGA ika hikinu alosema ni kweli
Gamondi na DIARA hawana nidhamu kabisa kwa refa
Lakini shida inakuja marefa wenyewe ni wangese bila kwenda nao hvyo wanakuharibia mechi yako
Hujiulizi Mbna mechi za kimataifa GAMONDI anakuwa na nidhamu nzuri 7bu kuu marefa wamenyooka hawana Ungese kama hawa wa ligikuu
Unasema wachezaji wa Yanga alafu umemtaja Diara. Yani kisa Diara umeshahitisha wachezaji wa Yqnga hawana nidhamu. Kwahiyo Simba hamjawai kusimamishiwa mchezaji kwa kadiYanga wachezaji wake hawana nidhamu diara suspended kwasababu ya kadi za njano yule kocha wa yanga kama sio waamuzi kukesha GSM basi angekuwa kila mechi anakula njano hana nidhamu hta kidogo.
Bora unanyamaze tuLile goli kama vile Jean alikuwa offside.
Makosa ya Kibinadamu FCLile goli kama vile Jean alikuwa offside.