Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni very tight😄Lile goli kama vile Jean alikuwa offside.
Yanga anaongoza 1Ngapi ngapi huko?
Ni sawa na magoli ya SIMBA VS AZAMClear Offside
0-1 yanga anaongoza kibabeNgapi ngapi huko?
Mods makoloMods inamaana hamjui kama tunaongoza
Hata smartphone hawana ya kuangalizia matokeo?Mods makolo
Kwa mbaali mno, hata VAR isingeona.Ni very tight😄
Nashangaa Simba hamlalamikii marefa, maajabu haya si juzi tu hapa mlikuwa mnawalalamikia mpaka mkasemelea kwa wazeeNashangaa yanga wanamlalamikia refa maajabu haya si juzi tu hapa walikuwa wanabeza na matusi juu.
Malalamiko au Madunduka ukipenda waite Debora FC 0 Dume lao 1.Score board?
Wala sio shida zetu hizo,kila mtu ashinde matches zake kwa namna yakeTimu inapewa magoli ya kihuni mpaka mtu unaona aibu, Halafu mashabiki wao walivyo vilaza wanasema wana timu ya kushinda CAF Champions league.
Mangungu Out FC ukipenda waite Mbumbumbu FC katika ubora wake.Timu inapewa magoli ya kihuni mpaka mtu unaona aibu, Halafu mashabiki wao walivyo vilaza wanasema wana timu ya kushinda CAF Champions league.