Mkumbushe kuwa Aliyemkanda Jana yuko Nafasi ya Tatu na Tunayemtandika Leo ndo kashika nafasi yya kwanza
mujarrab.Uthibitisho upo kisogoni mwako, tazama kisogo chako vizuri utauona uwepo wake.
Umeonaaeee...Kitakachowaumiza sana Amphibians sio wao kufungwa bali SIMBA kushinda hii mechi leo
Facts talkβ€β€β€
Naungana na wewe mkuu, huyu dogo ni kichomi, anatoboa mtumbwi, sijui ndiyo kuchoka au pombe kali...Hii Simba ikipata mbadala wa Ahoua itakuwa hatari zaidi
Umeonaaeee...
Uto kwenye moja na mbili... πΈπΈGooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooolllllll
Nmamna gan pale .... makolo wanakandwa heavily [emoji51][emoji51]
Mwaka huu tutakoma.
πππZimbwe anataka kumtengua nyonga muarabu wa watu akimbiwe na mkewe