Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Saa 4:00 usiku wa leo, kunapigwa mchezo mkubwa wa el clasico.
Real Madrid dhidi ya Barcelona kule Santiago Bernabeu,
Barcelona wako form huku Madrid wakiwa wa moto.
Ni El clasico nzuri baada ya miaka mingi sana kuwa mechi ya kawaida.
Nini kitatokea? Nani atafungwa?
Huku kuna Mbappe, Vini Jr kule kuna Lamine Yamal, Pedri, Lewandowski.
Game itakuwa live kupitia AzamTv, DStv, Canal Sports
Live updates itakuwa hapa…
Real Madrid dhidi ya Barcelona kule Santiago Bernabeu,
Barcelona wako form huku Madrid wakiwa wa moto.
Ni El clasico nzuri baada ya miaka mingi sana kuwa mechi ya kawaida.
Nini kitatokea? Nani atafungwa?
Huku kuna Mbappe, Vini Jr kule kuna Lamine Yamal, Pedri, Lewandowski.
Game itakuwa live kupitia AzamTv, DStv, Canal Sports
Live updates itakuwa hapa…