Tushuhudie mpaka mwisho
Hii inahusiana nini na uzi huu kama sio ubwege?
Bwege mwenyeweHii inahusiana nini na uzi huu kama sio ubwege?
Ni kama pieTukio moja kati ya haya yafuatayo lazima litokee.
1.Uwepo wa penati.
2.Goli la utata unaotokana na offside
3.Red card kwa Fountain Gate
4.Muda wa nyongeza kuwa 7+
Unataka ndoa na MpanzuMpanzu ni takataka
Hilo tunalijua usihangaike kujitambulisha Mr 🐸Mimi ni takataka.
refa wa leo, humpendiNaipenda SIMBA Sports Club, mshabiki wa Damu..
Naitakia ushindi mkubwa chama langu Simba
Malalamiko fc mmeanzarefa na lines men kama kawa na utunmbo wao
Ipo icheki hapaHakuna penalty huko?