Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toba!
Ujue mpka niliwaonea huruma yani leo haikua tu ridhikiSaana mkuu
Ujue mpka niliwaonea huruma yani leo haikua tu ridhikiSaana mkuu
Back pass zinagarimu timu nyingi sana ligi kuu kuna mpira flani hivi kama wa wogaHata mimi nashangaa sana sijui benchi la ufundi halioni tatizo hapa!
Maana ni bora ubutue mpira hovyo au uutoe nje kuliko hizi back pass ambazo zimetugharimu mara nyingi
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Hata mpira kaumaliza kinyonge sana sio kama marefa wengine filimbi unaisikiaToba!
Unaweza kudhani ni fainali watu wameenda extra time.
Kumbe refa mmoja mpumbavu mwenye mapenzi na makolo anatafuta namna mbumbumbu waepuke aibu ya draw.
Inasikitisha kwa kweli.Hata mpira kaumaliza kinyonge sana sio kama marefa wengine filimbi unaisikia
Hii wala haiwezi kuwa sababu. Kuonyesha appreciation wala sio vibaya sababu sio wa kwanza kuonyesha kumkubali mtu, hata kwenye ligi kubwa ulimwenguni.Mambo mengine ni ya kujitakia tu.
Mtu ameshasema role model wake ni mchezaji wa mpinzani wenu lakini bado mnamuacha kwenye timu na mbaya zaidi mnamchezesha!
Tunajenga timu hatuna maumivu. Tupo 40%.Maumivu wanayopitia makolo hayana mfano
Simba kweli ni timu KUBWA.Tunajenga timu hatuna maumivu. Tupo 40%.
Niliagiza kitimoto na ugali ila sikushiba, sasa hivi nakula chipsi kuku ili kutimiliza furaha yangu.Ujue mpka niliwaonea huruma yani leo haikua tu ridhiki
Mungu kawapigania sana vijana wa Fountain Gate kwa kila jambo
HamkosekaniNGuvu moyaaa
Yani aibu ya mwaka mpaka vijana wanakuwa makipa wakadake nmesikitika sanaInasikitisha kwa kweli.
Simba wanatafuta ubingwa kivyovyote vile.
Hii ya leo ni muendelezo tu wa kupendelewa na kubebwa na marefa wa mchongo.
Akaamua kum-PIMPUChasambi alimchungulia kabisa bwana pinpin...