Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
AiseeeHawa Fountain Gates tutawachapa kama tunaua mbwa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeeHawa Fountain Gates tutawachapa kama tunaua mbwa!
Huwezi fukuzwa mjuukuu wa sheikh Yahya,tunakutegemea sana 😀Hii mechi ni draw tofauti na hapo nifukuzwe jf.
Labda uwe Simba maji. Wewe si ndio mgawa supu maarufu hapo Uto.Mimi ni Simba Damu ila Kwa Yeyote ambaye hajawahi kufanya makosa awe wa kwanza kumlaumu Chasambi..
Mpira ni mchezo wa Makosa na vilevile kukosea ni sehemu ya maisha
Hahahaaa. Wajikaze kiume yanavumilika hayo. 🤣🤣🤣Maumivu wanayopitia makolo hayana mfano
Swahiba makolo wanapokua na maumivu uwa naenjoy sana 😂Hahahaaa. Wajikaze kiume yanavumilika hayo. 🤣🤣🤣
Na haya maumivu wanayo mpaka Msimu wa ligi 2024 - 2025 unamalizika. 🤣🤣Swahiba makolo wanapokua na maumivu uwa naenjoy sana 😂
Labda mwaka huu watafika nusu fainali but always wanaishiaga quarter finals.Yah, na mnaweza kushinda, Simba haina hii presha, wakati ukimfikiria Simba, Simba inapiga mahesabu ya nusu fainali michuano ya kimataifa ya sasa na yajayo.
Hiyo quarted si nyepesi ndo maana ina fedha nzuri tu unapata.Labda mwaka huu watafika nusu fainali but always wanaishiaga quarter finals.
Na haya maumivu wanayo mpaka Msimu wa ligi 2024 - 2025 unamalizika. 🤣🤣
Ubaya ubwela.Hii mechi ni draw tofauti na hapo nifukuzwe jf.
Katoke wapi Swahiba. 🤣View attachment 3227424swahiba haka kamsemo huko kwa mdosi umekasikia?
✈️🛩️🛫🛬 Huo usafiri mtatumia kwa safari za ndani tu.
3 na 4 umepatiaTukio moja kati ya haya yafuatayo lazima litokee.
1.Uwepo wa penati.
2.Goli la utata unaotokana na offside
3.Red card kwa Fountain Gate
4.Muda wa nyongeza kuwa 7+
😀😀Katoke wapi Swahiba. 🤣