Huyo mpanzu mtamkataa tarehe 8Inshaallah game itaisha kwa kmc kupata ushindi leo, ila tuwe wakweli kwa mara ya kwanza Baada ya miaka 3 mashabiki wa yanga 50% wanaihofia simba inaweza kubeba ubingwa, simba hii ya mpanzu kushoto kulia kibu moto utawaka msimu huuπ₯
Mahesabu yako ni kuwa πΈπΈmmecheza mechi sawa na Simba na mmewazidi points 2..Ni sequence and series ,tulivyokuwa juu tulikuwa tumewazidi(45 vs 44) point moja ,tukatoa draw tukawa na 46 nyinyi mkapanda 47 ,leo tupo juu tumewazidi point 2(49 vs 47) ,umeona sasa tukiwa juu tena tutawazidi Point 3 huko mbele ambayo ni sawa na mchezo mmoja ,ni hesabu kaka hazidanganyi.
Yes mtani! Sema ni nzuri ipo unique πMtani jezi Afu 85?
Nimesikitika sanaa kwa akili hizo za uliye mqoute ndo maana wanasema wenye akili ni 2...Mahesabu yako ni kuwa πΈπΈmmecheza mechi sawa na Simba na mmewazidi points 2..
Una hoja ya kuchekesha mno ππ
Hivi hujui kuwa Simba akicheza na kushinda mechi kwa goli moja tu mnashushwa hapo kileleni?
Nikukumbushe tena...
"ukiona utopwinyo anaongoza ligi basi ujue Simba hajacheza".
Ahahahahahaha daahYes mtani! Sema ni nzuri ipo unique π
Nimesikitika sana, comment hii kuandikwa na wee.Ni sequence and series ,tulivyokuwa juu tulikuwa tumewazidi(45 vs 44) point moja ,tukatoa draw tukawa na 46 nyinyi mkapanda 47 ,leo tupo juu tumewazidi point 2(49 vs 47) ,umeona sasa tukiwa juu tena tutawazidi Point 3 huko mbele ambayo ni sawa na mchezo mmoja ,ni hesabu kaka hazidanganyi.
mara ya kwanza ilikuwa inasemwa makipa wanajifanyisha kudaka mashuti ya jamaa ila ilipo wakuta makipa wao (nyau ) hadithi ikabadirikaNasikia kuna penati kipa kaifuata alipoona anaweza kuidaka akaweka mikono mfukoni ili asimuharibie siku Mr. Mobetto.
Mahesabu yako ni kuwa πΈπΈmmecheza mechi sawa na Simba na mmewazidi points 2..Ni sequence and series ,tulivyokuwa juu tulikuwa tumewazidi(45 vs 44) point moja ,tukatoa draw tukawa na 46 nyinyi mkapanda 47 ,leo tupo juu tumewazidi point 2(49 vs 47) ,umeona sasa tukiwa juu tena tutawazidi Point 3 huko mbele ambayo ni sawa na mchezo mmoja ,ni hesabu kaka hazidanganyi.
Huyo jamaa ni kila kabisa kama walivyo πΈπΈwote kasoro wawili tuNimesikitika sanaa kwa akili hizo za uliye mqoute ndo maana wanasema wenye akili ni 2...
Hao wanatushikia siti tu maana sisi hatuwezi kupitia madirishaniMahesabu yako ni kuwa πΈπΈmmecheza mechi sawa na Simba na mmewazidi points 2..
Una hoja ya kuchekesha mno ππ
Hivi hujui kuwa Simba akicheza na kushinda mechi kwa goli moja tu mnashushwa hapo kileleni?
Nikukumbushe tena...
"ukiona utopwinyo anaongoza ligi basi ujue Simba hajacheza".
Huyo jamaa ni kila kabisa kama walivyo πΈπΈwote kasoro wawili tu
Pole sana,ngoja mi niwe Guede wa mchongoSiku moja moja huwa namkumbuka.
Wewe sindo ulitapeliwa humu au nimefananisha id?Pole sana,ngoja mi niwe Guede wa mchongo
KMCLolote baya liwapate π₯΅
mbona leo unafuraha sana ?1 - 6
Ahsante Yanga kwa zawadi ya Valentine's Day. Tunawapenda sana.
ππππππππππππππππ
HaswaaHao wanatushikia siti tu maana sisi hatuwezi kupitia madirishani
Bashite akiwa RC wa MzizimaSijui KMC mara ya mwisho ilishinda lini mbele ya Yanga hata kugawana TU point.
Ww mutu murefu Mbona unacheka sasa!Ahahahahahaha daah
Mkuu hiyo ni hesabu ,kadri tunavyowazidi point hata hiyo michezo tuliowazidi inakuja kupigwa gap na point ,tulianza kuwazidi point moja kwa mchezo mmoja mbele ,sasa tunawazidi point mbili mchezo mmoja mbele ,then tutakuja kuwazidi point tatu mchezo mmoja mbele hapo ndiyo gap linapoanza.(idadi ya goli itatubeba maana sisi ni tunapigaga kono la nyani hatucheck na wowote).Mahesabu yako ni kuwa πΈπΈmmecheza mechi sawa na Simba na mmewazidi points 2..