Kamudomo hako boss.yaani historia imegoma kabisa, makolo wanaroga kumbukumbu isikumbushwe tena
yaani inaniuma sana natamani goli 1 tu tukumbushe machunguSafu ya umalizia haijatundea haki kuna nafasi za wazi kabisa wamezipoteza
Tayari mkuu πyaani inaniuma sana natamani goli 1 tu tukumbushe machungu
hapa burudani mkuuTayari mkuu π
Wasijali iko siku watakumbushwa kuwa Yanga iliwahi kutundikwa bao sita mtungi(6-0) na Simba.shida wana hamu ya kukumbushia rekodi ya 1-5 likipatikana goli moja utaona wanatulia
kama ujawahi pigwa 1-5 basi mlaumu KMCnani alishawai kufungwa 1-5
πHaya matokeo sio mageni hapa mjini π
Ibada za kijimwambafu kupitia history yaani yaliyopita ni sumu mbaya mno inayoitafuna utopwinyo muda wote coz hamna jipya zaidi ya kuabudu yaliyopita ππyaani historia imegoma kabisa, makolo wanaroga kumbukumbu isikumbushwe tena
Kamdomo kamdomo kamdomo πGoooooo! 5 sasa inabidi yanga wafunge goli la 6 vinginevyo kina kolo wataumia sana kwa kuwa goli 5 zitawakumbusha kitu