Full Time: Mashujaa FC 0-5 Yanga SC| NBC Premier League | Lake Tanganyika | 23.02.2025

Umeongea vyema zamani Ili uandae uzi tulikua tunaingia chimbo kukusanya data Ili msomaji ajue nn kinachoendelea..
Siku Uzi ni Aya Moja tu ..[emoji23]

Hebu ona Uzi kama huu ulikua umeshiba
 
kitu ambacho umetoa sifa kwa uzi huo ni kipi? Uzi wa live lazima updates ya kile kinachoendelea uwanjani iwepo,maelezo mengi hayahitajiki, faida ya live updates ni kwamba ambaye hatazami game na yuko remotive areas atapata sawasawa na kile unachokipata wewe uwanjani au katika Tv. Niambie huo uzi wako ulioupa sifa una live updates? Wakati mwingine wahenga hawakukosea kusema FIKRI KABLA YA KUTENDA umeleta hoja yako bila kufkiria na kwa kukurupuka. tafakari tena upya
cc: Wakipekee, The Legacy , Kalpana
 
Acha ubishi tafuta nyuzi za zamani utajifunza kitu...
 
Acha ubishi tafuta nyuzi za zamani utajifunza kitu...
tubishane kwa hoja mkuu, umeniletea uzi wako wa zamani kama rejea kuifanya hoja yako iwe madhubuti,ila nimekupa faida na dhumuni la live thread na faida zake wewe umeanza kuleta hoja eti acha ubishi, ubishi upi?
 
tubishane kwa hoja mkuu, umeniletea uzi wako wa zamani kama rejea kuifanya hoja yako iwe madhubuti,ila nimekupa faida na dhumuni la live thread na faida zake wewe umeanza kuleta hoja eti acha ubishi, ubishi upi?
Weka vikosi mkuu au bado ndio live yenyewe..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…