Full Time: Mc Algier 0-1 Al Hilal | CAF Champions | Disemba 14,2024

Full Time: Mc Algier 0-1 Al Hilal | CAF Champions | Disemba 14,2024

Kwani si walishacheza nao kipindi cha kwanza wakapoteana ila uzembe wa Yanga kuleta mbwembwe wakashindwa kupata goli kipindi cha kwanza. Kipindi cha pili mabeki na kipa wakafanya uzembe wakafungwa magoli ya kipumbavu kabisa
Hawa majamaa wanavyocheza hapa sio wa kuwawekea matumaini Al Hilal kuwa wanaweza kushinda hii mechi.

Kuna uwezekano ile mechi yenu eidha walidharau au kulikuwa na wachezaji muhimu waliokosekana.

Mpira unaochezeka saizi sio ule kabisa ambao mlichezewa nyie.

Kwa saizi naweza nikasema bora nyie mlionesha upinzani wa ku balance kuliko Al Hilal
 
Al Hilal wameanza kupanda kushambulia
 
13'

Ball possesion

MC Algier 68 Al Hilal 32
 
Al Hilal wanapoteza nafasi ya kufunga bao
 
20'

Al Hilal wanapata nafasi hapa wanapaza mpira

Lakini line 2 alikuwa amenyanyua kibendera kuashiria offside
 
MC Algiers wanapata kona
 
26'

Kona wanapata Al Hilal

27'

Mpira unapigwa wanatoa tena Mc Algier na kuwa kona pacha

28'
Shambulio limezimwa
 
Kwani si walishacheza nao kipindi cha kwanza wakapoteana ila uzembe wa Yanga kuleta mbwembwe wakashindwa kupata goli kipindi cha kwanza. Kipindi cha pili mabeki na kipa wakafanya uzembe wakafungwa magoli ya kipumbavu kabisa
Tujilaumu wenyewe
Ila naamini tutaenda kumfunga Al Hilal huko Libya
Mechi na Leo naombea Mc Alger ashinde ampige Mazembe ili tukija kucheza nae mechi ya mwisho awe amefuzu asikaze sana
 
Kibao kimegeuka

Ni Mc Algier anayeshambuliwa
 
MC Algiers wanakosa nafasi za wazi sana yani very clear
 
Al Hilal nao wanakosa bao nafasi ya wazi
 
Tujilaumu wenyewe
Ila naamini tutaenda kumfunga Al Hilal huko Libya
Mechi na Leo naombea Mc Alger ashinde ampige Mazembe ili tukija kucheza nae mechi ya mwisho awe amefuzu asikaze sana
We umechanganyikiwa,mechi ya leo Mc Alger ampige Mazembe?
 
Back
Top Bottom