Kocha akumbushwe AUCHO hatakiwi KUTOKa Labda awe Ameumua nahisi kajionea dakika ya 70+
 
awaambia Dube ni mnakataa hadi mech kama hii anakosa

Angerudisha kwa chama alikua ashafungua
Yanj kosa la Dube pale ni kutaka kumalizia bila utulivu angetulia angefunga kama la pacome ama angerudisha kwa Chama
Na hio sifa sio kila mchezaji anayo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…