Kwenye striker ni bora tukaenda na Mzize kuliko huyu Dube.Naunga mkono hoja
awaambia Dube ni 0 mnakataa hadi mech kama hii anakosa goliDube anastaili viboko
awaambia Dube ni mnakataa hadi mech kama hii anakosaDube anastaili viboko
Angerudisha kwa chama alikua ashafunguaChama si angefunga
Punguzeni lawama kwa Dube mi binafsi pale sikuona chance angepiga wapi sasa
Hili ndo neno alitaka dube aondoke na mpira sema sasa sio kila goli litafungwaChama hanaga uchoyo,alitaka dube aondoke na mpira leo.sema bwege ilo
Yanj kosa la Dube pale ni kutaka kumalizia bila utulivu angetulia angefunga kama la pacome ama angerudisha kwa Chamaawaambia Dube ni mnakataa hadi mech kama hii anakosa
Angerudisha kwa chama alikua ashafungua
Si rahisi, kikosi kinapangwa na yule mpenda misifaApigwe benchi