Mi mi
JF-Expert Member
- Jul 14, 2024
- 2,748
- 5,112
GSM anaharibu ligiMechi nyingine hazina tofauti na porn video.
Porn video ukiangalia ni mmoja tu anashambuliwa. Hii game ya Yanga vs Kengold haina tofauti na video porn.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
GSM anaharibu ligiMechi nyingine hazina tofauti na porn video.
Porn video ukiangalia ni mmoja tu anashambuliwa. Hii game ya Yanga vs Kengold haina tofauti na video porn.
Kama lile bonanza la taboraKumbe hadi mechi za bonanza mnazifungulia uzi?
Yeaah!!!!!! especially against the mighty ken gold. What do you think bro? Welcome to our club young africansWhen two rival teams meet.
ubingwa tutaupata Simba tunamkung'utaYani ligi ilianza bwana timu zote ziliendaga likizo kufanya mazoezi ya kuizuia Yanga mana Gamond walishamsoma... na ndo mana mimi ntaendelea kuamini Gamond hakupaswa kuendelea kuwa kocha Yanga tungekua tunateseka mpaka leo... acha tubadili makocha usiku na mchana na ubingwa tusiupate potelea pote ila atleast tunajaribu kujiweka sawa
Sasa ndio mfungwe mara nne?Watashangilia sana kama wamewafunga al hilali au mc alger au tabora united lakini.....wameifunga timu zolfu hali...timu iliyosajili kelvin yondan mfanyabiashara na muuza duka kitambo jijini dar es salaam na mikoani...mpaka biashara itakuwa imekwisha NBC ligi ni nyepesi kwao ni utelezi mtihani wakifika huko wanakwama tu....!
Punguza wivu 😃😀 ateba anagoli ngapi mwanetuHii ni sawa mtu wa form six kufurahi kupata swali la hisabati la 2x2=?
Hizi juhudi wangezionesha siku ile na MC Alger.
Aliyekufa kauawa tena😄😃😀😆
Naunga mkono hojaubingwa tutaupata Simba tunamkung'uta
Bonge la goliDubeeeeee💙
Kono la Nyani aka Juliana.Ligi NBC kuendelea leo majira ya saa kumi na robo alasiri katika uwanja wa KMC Complex ambapo Yanga watakuwa wenyeji wa Ken Gold.
Yanga wanaingia katika mchezo huu wakiwa katika nafasi ya pili wakiwa na wamecheza michezo 16 wakishinda michezo 14 na kupoteza 2 huku wakifunga magoli 36 na kuruhusu magoli 6 wakiwa wamejikusanyia alama 42.
Ken Gold wanaingia wakiwa katika nafasi ya 16 wakiwa wamecheza michezo 16 wakishinda mchezo 1 sare 3 na wamepoteza michezo 13 huku wakifunga magoli 11 na kufungwa magoli 29 wakiwa na alama 6.
Vikosi vinavyoanza leo.View attachment 3226134
View attachment 3226080
Muda wowote kipute kitaanza wachezaji wapo uwanjani.
Dk3 Goaaaal Prince Cube anawafungia Wananchi bolo LA kuongoza.
Dk6 Gooaaal Clement Mzize anawafungia wananchi goli LA pili.
Dk ya 27 matokeo back ni 2-0 na Yanga wanacheza mpira wa kuvutia hapa.
Dk39 Pacome anawafungia wananchi goli LA 3.
Goooaaaaaaal Mzize Anafunga goli LA nne.
HT: Young Africans 4 vs 0 Kengold.
Mfa maji hakosi kutapatapa.tusipofunga shida,tukifunga mengi shida na tukifunga machache matatizo.Watashangilia sana kama wamewafunga al hilali au mc alger au tabora united lakini.....wameifunga timu zolfu hali...timu iliyosajili kelvin yondan mfanyabiashara na muuza duka kitambo jijini dar es salaam na mikoani...mpaka biashara itakuwa imekwisha NBC ligi ni nyepesi kwao ni utelezi mtihani wakifika huko wanakwama tu....!
Dube asipotumia nguvu ndani ya Box atafunga sana..Bonge la goli