Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu halali kabisaMangungu
Mbona hata huko Singida alikuwa anakaa benchiKapombe ni mchawi kwa kiwango hiki cha Isra alimuwekaje bench?
Unafikiri wanaitwa mbumbumbu kwa makosa4- 0
Utaskia tawi/ndo.mechi zenu hizo
Kabisa mkuu mwenyewe anajijua sio mpaka tumtajeHiki kikombe kuna timu kinamuhusu tar 8 Machi, Ken gold wamejichanganya tu
Yani ligi ilianza bwana timu zote ziliendaga likizo kufanya mazoezi ya kuizuia Yanga mana Gamond walishamsoma... na ndo mana mimi ntaendelea kuamini Gamond hakupaswa kuendelea kuwa kocha Yanga tungekua tunateseka mpaka leo... acha tubadili makocha usiku na mchana na ubingwa tusiupate potelea pote ila atleast tunajaribu kujiweka sawaHivi vi Kengol walitukaziaga kipind kile sijui yanga ilikua na hali ngumu
PrincePrice Dube
Said ramadhani alikuwa anawacheleweshaHamna goli linaumaga mkifungwa kama papatupapatu daah! Linaniudhigi mimi ila mkifunga raha
Muda sio mrefu.Mimi bado siamini hadi nisikie kelele za GSM anaharibu ligi.
Ni mateso kiasi gani unayapata?Uto anajipigia tu
Tufanye ni weweNaona hata wao hawajui. Hawajamuweka