Full time: Robo fainali Klabu Bingwa Afrika: Simba SC 3-0 Kaizer Chiefs | Benjamin Mkapa National Stadium - Mei 22, 2021

Mugalu auzwe tu....mzito kama nini....Simba haina mshabuliaji kabisa
Kabisa mkuu,hii game ni ya simba leo..watajilaumu sana.wamecheza vizuri,wametengeneza nafasi nyingi za wazi..lakini washambuliaji wameshindwa kuzitumia
 
Goli nne tunapachika kipimdi hiki cha pili

Termination round
 
Game ilibidi iwe angalau 3-0 mpaka saivi..huu ni ujinga..tusitegemee goli tatu 2nd half kwa hawa straika wetu
 
Camera imepita Benchi la yanga wameonesha mashabiki wa yanga wamevaa jezi za yanga wakishangilia pamoja na kaizer chief

Mtangazaji bwana eti "Kaizer chief wakiwa na wake zao"
 
Angalau kagere angetumia vizuri zile nafasi,
 
Still Simba wana nafasi wanacheza vzr na wanacreate chances kibao sema uchoyo Wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…