BILGERT
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 6,534
- 11,011
Kabisa mkuu,hii game ni ya simba leo..watajilaumu sana.wamecheza vizuri,wametengeneza nafasi nyingi za wazi..lakini washambuliaji wameshindwa kuzitumiaMugalu auzwe tu....mzito kama nini....Simba haina mshabuliaji kabisa