makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Hawa walituweza kule kule kwao, ile mistake ni kubwa saana tuliifamya kule.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kocha ananiangusha sana, sijui Kagere ana shida gani, hizi dkk zake kbs atoe MugaluKadri muda unavyokwenda timu mbele inakufa nguvu, morali inashuka.. [emoji22]
Coach haoni hili.. Kagere ni amsha amsha na angeijaribu pair ya kagere na boko huko nyuma ilifany vizuri.
Huo ndio uhalisia tunatoka.na hawajui kutumia nafasi, nina uhakika wenzetu wakipata nafasi wataitumia yaani tukitolewa hii mechi lawama kwa wachezaji.
Siamini kama tunatolewa aisee
Huo ndio uhalisia tunatoka.
Tulifungwa magoli ya kizembe nadhani hata wao hawakuamini, mabeki walikuwa wanatetemeka tuHawa walituweza kule kule kwao, ile mistake ni kubwa saana tuliifamya kule.
Ndio timu yako hiyo uwezo wa wachezaji wako ndio hivyo unaonekana wameishia hapo!Daah
Kwa uzembe wetu, kuruhusu magoli ya ajabu sauzi, thn tunakuja kuchezea nafasi za wazi hapa kwetuNi kweli Mkuu tunatolewa
Kocha kaishavurugikiwa, ukiwa kwenye benchi na upo katikanhali km hii unavurugika mnoo, nadhani ni wakati wa wasaidizi wake kumuazimisha maarifa.Kocha ananiangusha sana, sijui Kagere ana shida gani, hizi dkk zake kbs atoe Mugalu
Hizo dharau ndizo zinawaponzaHawa ni wa kawaida sana sijui walitupigaje 4
Merekh na Vita ni bora zaidi kuliko hawa
Kawaida yake Kagere huwa anamuingiza dkk mbovu sn, ngj utaona, anampenda sn Mugalu wkt hana kitu.Kocha kaishavurugikiwa, ukiwa kwenye benchi na upo katikanhali km hii unavurugika mnoo, nadhani ni wakati wa wasaidizi wake kumuazimisha maarifa.
Nusu tulikuwa tunaingia kirahisi,lawama zote kwa bekiTulifungwa magoli ya kizembe nadhani hata wao hawakuamini, mabeki walikuwa wanatetemeka tu
Gomes na mugalu ni kama maji ya mlokole na uzima.Kawaida yake Kagere huwa anamuingiza dkk mbovu sn, ngj utaona, anampenda sn Mugalu wkt hana kitu.