Full time: Robo fainali Klabu Bingwa Afrika: Simba SC 3-0 Kaizer Chiefs | Benjamin Mkapa National Stadium - Mei 22, 2021

Full time: Robo fainali Klabu Bingwa Afrika: Simba SC 3-0 Kaizer Chiefs | Benjamin Mkapa National Stadium - Mei 22, 2021

Simba wasitumie mipira ya juu yaan hawafanikiwi jamaa warefu mno
 
Gooòoooooaaaaaààaaaal kaizer chief wanatanguliaa hapa
 
Mlituambia dk 10 za mwanzo mnagoli,ila sasa hivi dk 11 sie wangoni bado tuna magoli yetu manne tuliyo yapata nyumbani.
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Hapa hakuna kitu hii ndio timu iliokuwa inasema itafanya comeback, mungu asaidie leo tupigwe hata tatu tu, tusije kuaibika

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
Bado jamaa wanaonekana kuwa na madhara makubwa wanaposhika mpira kuelekea kwenye lango la Simba,ambao wamekuwa wakipiga pasi nyingi zisizo na madhara. Kuna goli linanukia hapa.
 
Ohooo huu mpira mbona ume switch ghafla
 
Back
Top Bottom