Scorpio Me
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 6,119
- 7,934
[emoji38][emoji1787][emoji23]Ila ruvu ni majasiri sana yani kipigo hiki bado tu unaweka matumaini ya mchezo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38][emoji1787][emoji23]Ila ruvu ni majasiri sana yani kipigo hiki bado tu unaweka matumaini ya mchezo?
Unaumia ukiwa wapi utopoloTimu imepeleka wachezaji wake muhimu 10 kwenye mazoezi ya jeshi
Kwanini msiwafunge 5
Simba muda wote ipo kwenye ubora wakeImawezekana Simba imerudi kwenye ubora wake. Tuone mzunguko wa pili wa NBC primier league
Niliona hiyo Mkuu!io kawaida bayern na ubabe wake jumamos alikula nne kipind kimoja
[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Simba muda wote ipo kwenye ubora wake
Kinachofanya tuone kwamba iko chini ya kiwango ni moja ya technique ya kumpa matumaini mpinzani ajione bora ajisahu
Mayele alitumia miezi kutengeneza magoli matatu, mwenzake boko katumia dakika 35 tu
Simba ni bora kwA waamuzi wapuuzi tu goli za offside, penati na red card tofauti na hapo hakuna timuSimba muda wote ipo kwenye ubora wake
Kinachofanya tuone kwamba iko chini ya kiwango ni moja ya technique ya kumpa matumaini mpinzani ajione bora ajisahu
Mayele alitumia miezi kutengeneza magoli matatu, mwenzake boko katumia dakika 35 tu
Alafu zote za offside hahahahahaSimba muda wote ipo kwenye ubora wake
Kinachofanya tuone kwamba iko chini ya kiwango ni moja ya technique ya kumpa matumaini mpinzani ajione bora ajisahu
Mayele alitumia miezi kutengeneza magoli matatu, mwenzake boko katumia dakika 35 tu
Ingekuwa ni mayele angetetema maziwa yake mpaka kesho anaamka chuchu zote zinamuumaChama hawezi shangilia Kwa Hawa watoto sio kama Mayele
Moto wa ubovu wa marefa ama moto you?Utopolo huko wanahema kwa presha siku wakikutana na huu moto watalala wakiwa hoi kiasi gani!
Za nani za offside?Alafu zote za offside hahahahaha
Wanapapaswa wao leoWazee Wa Mpapaso Wanaenda Kupapasa Mtu.
Papaso Square Kila La Kheri Masau Bwire.
Ingekuwa ni mayele angetetema maziwa yake mpaka kesho anaamka chuchu zote zinamuuma
Boko nambie goli gani hakuwa ameoteaZa nani za offside?