Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama wameenda kwenye mazoezi ya jeshi Simba inatuhusu nini sisi ,Au sisi tuwasaidieje.Timu imepeleka wachezaji wake muhimu 10 kwenye mazoezi ya jeshi
Kwanini msiwafunge 5
[emoji23][emoji1787]Mechi kama hizi tungeweka tu utaratibu kabla ya mechi kuanza tunamtanguliza mpinzani kwa magoli mawili halafu ndo tunaanza kucheza tukiwa nyuma ya mabao mawili atleast hii itawapa motisha
"raha ya mechi BAO"Unanoga balaaa
Hii ndo Simba Fc [emoji91]Huu ni upumbavu walahi, unawezaje kupigwa tano ndani ya kipindi cha kwanza[emoji22][emoji124][emoji124]
Kabisa mkuu"raha ya mechi BAO"
io kawaida bayern na ubabe wake jumamos alikula nne kipind kimojaHuu ni upumbavu walahi, unawezaje kupigwa tano ndani ya kipindi cha kwanza😢🚶🚶
Imawezekana Simba imerudi kwenye ubora wake. Tuone mzunguko wa pili wa NBC primier league
Au Simba yetu inabebwa hamniambii?Tunaomba tusilaumiwe na mtu