FULL TIME: Ruvu Shooting 0-7 Simba, Uwanja wa Mkapa, ASFC

FULL TIME: Ruvu Shooting 0-7 Simba, Uwanja wa Mkapa, ASFC

Sasa ni half time mechi kati ya simba na Ruvu shooting..tatizo sio simba lakini najiuliza
kwanini hawa barcelona ya bongo hawana ari ya mchezo? Kwanini hawakabi?
Kwanini wanakua kama wana support mashabulizi yaende langoni kwao?

Kwa style hii ina maana mechi hii itaisha kwa goli ushindi wa simba kwa goli 12+

Game hii kwangu ni moja ya game mbovu kabisa kuwahi kushuhudia hapa Tz
Bado nimebaki na maswali mengi ni nini kimetokea...kwa kuifahamu simba hii uwezo wa kutawala mpira kiasi hiki hawana ..na hilo hata wana simba wenyewe wanalijua..
Wacha tusubiri 2nd halftuone kitakachofuata..lakini mpira hakuna hapa leo...
Mpira wa upande mmoja?au ni waamuzi maana pia hata faulo nyingi zinaelekezwa kwa ruvu..
Any way..
Tusubiri.
 
Kesho lazm waitishe press conference
Wataenda fifa trip hii maana si kwa Simba hii .....[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]kikaooo kimoja tu watu wanakula magoli ya kutosha sasa tukiitisha cha pili si watu watakua wanakimbia hata hatujacheza nao[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hawa wachambuzi vipi

Eti wanasema ruvu alifanya mistake ndo maana kafungwa

Hivi timu gani hapa ukanda huu wa afrika mashariki na kati ikacheza na Simba isifanye mistake?

Huyo sevilla tu ambaye ulimengu mzima unamjua kwa kandanda lakini kwa mkapa alipaki basi

Kocha wa Al Ahly anasema bora PSG kuliko msako wa simba kwa mkapa, halafu unakuja mchambuzi ambaye umeujua mpira baada ya kubeti beti unasema ooh ruvu kafanya mistake

Ni ujinga tu
 
Sasa ni half time mechi kati ya simba na Ruvu shooting..tatizo sio simba lakini najiuliza
kwanini hawa barcelona ya bongo hawana ari ya mchezo? Kwanini hawakabi?
Kwanini wanakua kama wana support mashabulizi yaende langoni kwao?

Kwa style hii ina maana mechi hii itaisha kwa goli ushindi wa simba kwa goli 12+

Game hii kwangu ni moja ya game mbovu kabisa kuwahi kushuhudia hapa Tz
Bado nimebaki na maswali mengi ni nini kimetokea...kwa kuifahamu simba hii uwezo wa kutawala mpira kiasi hiki hawana ..na hilo hata wana simba wenyewe wanalijua..
Wacha tusubiri 2nd halftuone kitakachofuata..lakini mpira hakuna hapa leo...
Mpira wa upande mmoja?au ni waamuzi maana pia hata faulo nyingi zinaelekezwa kwa ruvu..
Any way..
Tusubiri.
Kalale
 
Sasa ni half time mechi kati ya simba na Ruvu shooting..tatizo sio simba lakini najiuliza
kwanini hawa barcelona ya bongo hawana ari ya mchezo? Kwanini hawakabi?
Kwanini wanakua kama wana support mashabulizi yaende langoni kwao?

Kwa style hii ina maana mechi hii itaisha kwa goli ushindi wa simba kwa goli 12+

Game hii kwangu ni moja ya game mbovu kabisa kuwahi kushuhudia hapa Tz
Bado nimebaki na maswali mengi ni nini kimetokea...kwa kuifahamu simba hii uwezo wa kutawala mpira kiasi hiki hawana ..na hilo hata wana simba wenyewe wanalijua..
Wacha tusubiri 2nd halftuone kitakachofuata..lakini mpira hakuna hapa leo...
Mpira wa upande mmoja?au ni waamuzi maana pia hata faulo nyingi zinaelekezwa kwa ruvu..
Any way..
Tusubiri.
Unateseka ukiwa wapi mkuu?

Au ni sababu ya msiba?
 
Back
Top Bottom