zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
Kuna ngekewa pia mkuuKwahiyo na ASEC walipigwa nyingi kwakua waamuzi walikuwa wabaya?? Leteni waamuzi wa ulaya basi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna ngekewa pia mkuuKwahiyo na ASEC walipigwa nyingi kwakua waamuzi walikuwa wabaya?? Leteni waamuzi wa ulaya basi.
Mi ni mkali kama huamini bus, kwenye hii safari nipo ndani ya mini bus../Unavonichukia unadhihirisha mi ni mkali...
Ngekewa tena!!!?Kuna ngekewa pia mkuu
Nenda kachekee chooni ili ufahamu urudi[emoji23].Tutakutana tu na sisi nyie...tuone mtakapotokea
Hao hao marefa wabovu ndo walikupa penati mechi na Namungo alishika Mayele na bado mkapewa tuta nyinyi.Ubovu wa waamuzi unauona lakini
Hahaaaa mkuuu wanachungulia humu wanaenda kuhala maana moto huu si wa mchezoUtopolo huko wanahema kwa presha siku wakikutana na huu moto watalala wakiwa hoi kiasi gani!
Ww jamaa una maneno sana khaaa[emoji1787][emoji23][emoji1787]Manula wangemfanyia hisani apewe simu aendelee kufatilia kesi ya mbowe
Admini apewe ulinzi 😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2121304
Simba timing yao huwa hatari sana, utopolo wanatetemeka naona wameanza kulazimisha kila goli wanalofunga Simba ni offside.Nakwambia Kuna watu huko tumbo joto wanatamani kulia aisee [emoji1787][emoji23] wataitisha sana press za kulia lia
Admin anasimamia haki bwana weee[emoji23][emoji23]Admini apewe ulinzi [emoji23][emoji23][emoji23]
Eeeh kwamba unataka sema ni uwezoNgekewa tena!!!?
Tatizo unamchukia mayele, na unajua ndo forward bora/Mi ni mkali kama huamini bus, kwenye hii safari nipo ndani ya mini bus../
Yanini hasi mi namawazo chanya, na huu ubaya niliuwanza kitambo sana.../
Kabisa ila wataponea kwenye kipengere cha ubovu wa marefa wa tzSimba inaweza kupokwa point
Sheria za mpira zinakataza kumpiga mpinzani goli 5 kipindi cha kwanza