Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Unajaza server wewe futa hii dogoMpira ni dakika 78
Nashauri Kikosi cha simba kitoke tuingie mimi na
Dam55
OKW BOBAN SUNZU
Ghazwat
Wengine sijawataja sio kwamba nawa exclude au sija show love hapana ila najaribu kufanya hivyo ili kubalance atleast ruvu wapate ushindani
Naweza nikakaa na debe la shanga golini nikawa natunga kamoja kamoja mpaka zinaisha na kusiwe na mpira hata mmoja uliokuja goliniWewe naomba atoke wewe ukachukue nafasi yake ukakae mkoba pale 5
Ally Salim Yuko vizuri sanaDogo kajitahidi pale
Mbona simba wanavyojaza magoli husemi?Unajaza server wewe futa hii dogo
Nataka kuchukua nafasi ya Mhilu nipige la 8..Haiwezekani mabao yote asiweke kambani.Mpira ni dakika 78
Nashauri Kikosi cha simba kitoke tuingie mimi na
Dam55
OKW BOBAN SUNZU
Ghazwat
Wengine sijawataja sio kwamba nawa exclude au sija show love hapana ila najaribu kufanya hivyo ili kubalance atleast ruvu wapate ushindani
Acha kelele mdogo wangu hujaskia nyimbo mpya ya Nikki mbishi?Nyie si ndo miongoni mwa wale wanaoamini mpira unadunda
Kwanini usiweke matumaini kwamba utaduda na ruvu watarudisha?
Ngumu eeh?
Sorry Leo tunachungulia mechi tukiwa hapaHaya vyura wote msione aibu kuja kupata burudani
Kazi imeisha mkuu. One love mkuu ScarsMpira ni dakika 78
Nashauri Kikosi cha simba kitoke tuingie mimi na
Dam55
OKW BOBAN SUNZU
Ghazwat
Wengine sijawataja sio kwamba nawa exclude au sija show love hapana ila najaribu kufanya hivyo ili kubalance atleast ruvu wapate ushindani
Haya Maneno Ndo Yaliwafanya Tar 3 July 2021 Mjiharishie [emoji23][emoji23]Utopolo huko wanahema kwa presha siku wakikutana na huu moto watalala wakiwa hoi kiasi gani!
Hizi ndio mechi boko boko huwa anafunga kutoa gundu.Vibaka wa mpira hao hakunaga afande wa hivyo
[emoji23]Dakika 3 zimeongezwa
Ruvu bado wanamuda wa kutosha kurudisha mabao, hofu yangu mimi tukienda penati tu