Kalamzuvendi
JF-Expert Member
- Sep 21, 2009
- 639
- 735
Nawaomba simba hapa hahahahahaaaa, wana midomo hawa watu. Viwili tu wametulizwa kimyaaaaaaaaaaaaaaaaaa
#teamyanga#
Nawaomba simba hapa hahahahahaaaa, wana midomo hawa watu. Viwili tu wametulizwa kimyaaaaaaaaaaaaaaaaaa
#teamyanga#
Wana midomo hasa, sasa tuone leo kama watachonga kama walivyozoea.
hongereni ndala, ila hamna mpira tuwe wakweli tu, mnabutua butua na kusibiri matukio, mpira wa tanzania utakuja panda kiwango simba sc itakaporudi ktk hadhi yake, na ndiko inakoelekea sasa!
Mnyama kajeruhiwa, sasa yeyote atokeaye mbele ni bakora tu mpaka tunachukua ndoo!
Tuache ubishi, mpira wa kitabuni simba wanacheza, hii haina ubishi! Tumecheza mpira mzuri na kupoteza nafasi, yanga butua butua na kusubiri matukio, mpira wa kimataifa ndo maana hamsongi!
Tz ni ya simba sc.
Tulieni hii mechi Simba hafungwi ....macho yangu hayajawahi kunidanganya....Yanga wanatulizwa kelele muda si mrefu....
Simba IKIFUNGWA Leo Naweka Hadharani Nanihiii Something Yangu Ikatwe Vipande Vipande. Na Mshukuru Sana Huyo Mganga Wenu Mzee Majid Wa Pemba Kaweza Kujitahidi Kupunguza Idadi Ya Magoli Kutoka Goli 7 Tulizopanga Kuwafungeni Leo Na Badala Yake Tutawafunga Goli 2 - 0 au 1 - 0. Mchezo Tumeshaumaliza Alfajiri Ya Leo Na Wale Makomandoo Wa Yanga Watawaambieni Tulichowafanya Usiku Wa Saa 8 Leo Pale Taifa Mpaka Wakaomba Msaada Wa Police. Leo Tusipowafunga Hayo Magoli Niliyowaambieni Hapo Naandika Rasmi Barua Ya Kujitoa Ktk Kamati Ya UFUNDI Ya Simba Sports Club. Na Yanga Mlivyo Na Matatizo Leo Mzigo Wote ( HIRIZI ) Mmempa Beki Wenu Wa Kushoto Haji Mwinyi Na Sisi Baada Ya Kulijua Hilo Nasi Tumefanya KAFARA La Kufa Mtu Na Mkifanya Mzaha Leo Wana Yanga Mtawabeba Wengi Mno Taifa Kwa Kuzimia Na Hata Kufa Kabisa. Simba Sasa Hivi HATUTANII Kwani MAMBO Ya KIUFUNDI Tunayafanya Kwa UHAKIKA. Nawakumbusheni Tu Kuwa Baada Ya Mechi Msisahau Kukumbuka Kwenda Kumfukua Huyu Mzee Wenu Idrisa Mliyemzika Nusu Bagamoyo Kwani Saa 12 Maji Ya Bahari Yanaanza Kurudi Na Kujaa. Nisalimieni Sana Mchawi Wenu Mkubwa Mzee Bhinda Na Mwambieni Kuwa Gentamycine Namwomba Baada Ya Mechi Tu Aje Mango Garden Nimtoe Mawazo Ya Kufungwa Na Mnyama. Otherwise Tunamshukuru Mno Beki Yenu Namba 4 Kwa Kutusaidia KUFANIKISHA TULICHOKITAKA Kwenu Japo MLIJIFANYA KUMNYANG'ANYA SIMU Lakini Kwa UMAFIA Wa Simba TULIWEZA KUFANYA Nae MIKAKATI Na Tumeshamalizana Nae Na Kuna UWEZEKANO Kati Yake Yeye au Mtoto Wa Kagame Mido Mmoja Wapo AKACHEZA RAFU YA MAKUSUDI Ili Atolewe Mnyama TUMALIZE MECHI Mapema. Poleni Sana MAKOMANDOO Wa Yanga Mliojifanya MNALINDA Uwanja Leo USIKU Na Hicho TULICHOWAFANYIENI Mkawasimulie Na Wanayanga Wenzenu. Bado Azam Na Wao!
Tunamsubiri azam ashikishwe discipline
jifari mkuu,sisi mbele kwa mbele
Subiri na tuone,leo tusipowalamba goal 2-0 basi mmejijitutumua sana 2-1.
Hii copy aipate Masuke na Apologise lady
Simba have perfectly reclaimed their shame in liue of glory!
hongereni Ndala, ila HAMNA mpira tuwe wakweli tu, mnabutua butua na kusibiri matukio, MPIRA WA TANZANIA UTAKUJA PANDA KIWANGO SIMBA SC ITAKAPORUDI KTK HADHI YAKE, na ndiko inakoelekea sasa!
MNYAMA KAJERUHIWA, sasa yeyote atokeaye mbele ni bakora tu mpaka tunachukua ndoo!
TUACHE UBISHI, MPIRA WA KITABUNI SIMBA WANACHEZA, hii haina ubishi! Tumecheza mpira mzuri na kupoteza nafasi, Yanga butua butua na kusubiri matukio, mpira wa kimataifa ndo maana hamsongi!
TZ NI YA SIMBA SC.
Sijifariji, nakwambia ukweli, sio kwamba mmetuacha point nne, ni mchezo mmoja tu!
Kwa Azam naona kama hali itakuwa ile ile, ila kwa sababu mpira ni pamoja na bahati pengine bahati inaweza kuwa upande wetu siku hiyo.asante sana hasira pelekeni kwa azam sasa
Sijifariji, nakwambia ukweli, sio kwamba mmetuacha point nne, ni mchezo mmoja tu!