Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,491
- 2,104
Kwa Azam naona kama hali itakuwa ile ile, ila kwa sababu mpira ni pamoja na bahati pengine bahati inaweza kuwa upande wetu siku hiyo.
Tatizo la Simba ni beki na mlinda mlango, rekebisheni hapo kama mnataka kushindaa.