GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mbaazi ikikosa maua husingizia jua!
Kuna bao mlifunga na refa akakataa? Nimeangalia highlights na kuona kuwa dakika 7 ziliongezwa lakini refa alichezesha zaidi ya hizo dakika 7 mfano kipindi Twite anapewa red card ilikuwa dakika ya 98, yote hayo yalifanywa na refa ili angalau mpate hata goli moja kumbe watu wenyewe hambebeki!
leo mnaongea sana
leo mnaongea sana
Nitakukuta Lodge au Guest House Gani Na Mimi Nije NIJISHINDILIE Zangu Mbili Kama Za Tambwe Na Busungu? Na Leo Ukifanya Masihara Dada Yangu UTAYAKOGA Kweli.
yanga yangu piga hao mkia fc warudi porini
oyeeee yanga chama kubwaYanga hoyeeeeeeee
Ndiyo Yeye Aliyefukiwa Baharini Bagamoyo Na Sasa Wamemfukua Baada Ya Ushindi Wenu Wa Kusaidiwa Na Referee POPOMA Israel Nkongo.
Mbona kwa maneno haya inaonekana wewe ndo Mdada??? Maneno ya kimama mama......pole sana lakini mwana vumilia tu
Nitakukuta Lodge au Guest House Gani Na Mimi Nije NIJISHINDILIE Zangu Mbili Kama Za Tambwe Na Busungu? Na Leo Ukifanya Masihara Dada Yangu UTAYAKOGA Kweli.
Isingekuwa Tu Hiyo Picha Yako Ktk AVATAR Yako Leo Ungejuta Kunifahamu ILA Kila Ukinichokonoa Na Nikitaka Kukujibu Kwa Kukupa Kombora Hiyo Picha Inanizuia. Kama Vipi Tafuta ID Nyingine Halafu Usiweke Hiyo Picha Ktk AVATAR Yako Kisha Jipendekeze UYAKOGE Vizuri.
Game ya utangulizi ilikuwa:
Yanga B 3 - 2 Simba B
Game ya utangulizi ilikuwa:
Yanga B 3 - 2 Simba B
Shikamoo Yanga