Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Hata chikola yupo klabu bingwaShirikisho ni Kombe la rede la mademu wajane aka single mothers! Kipimo ni simba kufika fainali!!
Wanaume uto tuko klabu bingwa!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata chikola yupo klabu bingwaShirikisho ni Kombe la rede la mademu wajane aka single mothers! Kipimo ni simba kufika fainali!!
Wanaume uto tuko klabu bingwa!!
Penati imepatikanaje.Kwahiyo ndugu zetu kama sio ile penalty ingekuwa bilabila kwa hawa vibonde?
Ingekuwa bilabila bila refa kuwapa penati ya ubweteKwahiyo ndugu zetu kama sio ile penalty ingekuwa bilabila kwa hawa vibonde?
Unasimamia Kura?Mnaoangalia mechi mtujuze sisi wengine tuko kazi maalumu
Maana yake wana uwezo wa kurudisha goli na wakafunga tena hutoamini macho yakoPamoja na kuwa Wapo nyuma kwa bao moja.....jamaa bado Wanapoteza muda.!
IMepanguliwa na mkonoPenati imepatikanaje.
Uwanja umepwata kabisaHii game haina mashabiki kabisa.
kolo waliweka viingilio juu sana.
Matokeo yake ndio haya
Analinda sandukuUnasimamia Kura?
Hamna VARIMepanguliwa na mkono
Hata Al Hilal mlisema ni vibonde na mlishangilia sana kupangwa kundi moja nao matokeo yake wamewamanua kikatili sanaHii game Simba wanashinda kwa hawa vibonde
kama unabet weka kodi ya miezi 6 Simba kushinda utanishukuru baadae
Yes tunaongoza. Ila kiwango kibovu mno mno.
Mabadiliko ya wachezaji na aina ya uchezaji yanatakiwa yafanyike.
HT
Ila Tumecheza vibaya. Tofauti yetu na vyura ni uwezo wa kufunga.
Ukweli usemwe,Simba hakuna timu
Ingekuwa 2 bilaKwahiyo ndugu zetu kama sio ile penalty ingekuwa bilabila kwa hawa vibonde?
Wabishi sana, Ndugu zetu wa Mbagala wamenyimwa uhondoUwanja umepwata kabisa
Kuna wale wenye Mwandiko mzuriiii ila kilichoandikwa sasa.Simba haina mambo ya mbwembwe zisizo na maana.
Kolo walijua watajaza ni mwendo wa mapengo tuHii game haina mashabiki kabisa.
kolo waliweka viingilio juu sana.
Matokeo yake ndio haya