Full time: Simba SC 1 - 0 Bravos do Maquis FC | CAF CC | Benjamin Mkapa Stadium | 27-11-2024

Full time: Simba SC 1 - 0 Bravos do Maquis FC | CAF CC | Benjamin Mkapa Stadium | 27-11-2024

FB_IMG_17326758759506674.jpg
wana
 
Yes tunaongoza. Ila kiwango kibovu mno mno.
Mabadiliko ya wachezaji na aina ya uchezaji yanatakiwa yafanyike.
HT
Ila Tumecheza vibaya. Tofauti yetu na vyura ni uwezo wa kufunga.
Ukweli usemwe,Simba hakuna timu


Mmepotea sana nyi ndugu zetu Utopolo..!

Msisuse, kufungwa jana ni Jambo La kawaida.

Kuhusu hii Simba kucheza vibaya, tuwavumilie tu kwanza bado timu yenyewe hapa tunapoiona 'HAINA MUUNGANIKO'....! sio mimi ila Wachambuzi hii ndo Kauli yao...
 
Back
Top Bottom