Full Time: Simba SC 2-1 CS Sfaxien | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa National Stadium | Disemba 15,2024

Full Time: Simba SC 2-1 CS Sfaxien | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa National Stadium | Disemba 15,2024

Badala ya kucheza wenyewe wanasubiri refa apulize filimbi , wamepata walichokitaka wasitafute wa kumlaumu
Ila pamoja na hayo yote Simba bado wachezaji wake wanafanya utoto sana kwenye games ambazo wapinzani ni dhaifu.

Mechi ya away dhidi ya Constantine tulicheza vizuri kuliko hii ya leo ambayo yupo nyumbani.

Haya matokeo tumshukuru refa zaidi kuliko Kibu, tukiwa na consistency ya performance hii sidhani kama kuna sehemu tutafika.

Hatuwezi kutegemea refa siku zote, kuna siku tutakutana na timu ambayo itamaliza mchezo dakika za mwanzoni halafu hata ziongezwe dakika 30 hatuwezi kubadilisha matokeo.
 
Nidhamu ya waarabu imewaponza, toka awali walikuwa wanacheza kwa mbinu zao za kujiangusha mara waingize mipira miwili miwili na nafikiri walimjibu refa vibaya!, nashuku walimtukana sasa nayeye akaamua atumie mamlaka yake!.
kuongeza dakika 7 haikuwa shida ila kwenye nyongeza kaongeza zikafika 9, na ubovu goli limepatikana ktk dakika ambazo hazikuwa zile saba!.

Naweza sema refa kaishi usemi wa simba yani "Ubaya ubwela!"...🤣

Oni langu..
Ni muda sasa timu za kaskazini haswa waarabu wabadilishe nidhamu za uchezaji wao, figisu figisu za ajabu zitakuwa zinaleta tafrani kwa wapinzani na hata refa kama ilivyojitokeza hivi leo.
CAF wamekuwa wakiwalea hawa waarabu nafikiri waongee nao.
Hii ya mipira miwili inakuwaje?
Mana hata kwenye ile mechi na Constantine pia ilifanyika hio?
 
Kwenye zile dakika 7 za nyongeza kuna tukio gani lililotokea la kupoteza muda hadi refa aendelee tu kuchezesha hadi dakika ya 8 kwenda 9?
Kwani waarabu walikua hawachezi? Au waliambiwa msicheze waacheni simba wacheze?! Mbaya zaidi wamepiga Rafa! Waarabu mapimbi sana maaamae zao. Wangeondoka kimya kimya wakakate rufaa CAF
 
REFA alivuta mlungula sio Bure alistahili kichapo tokea lini dakika za nyongeza zikawa na nyongeza nyingine? Simba walipofunga akamaliza na mpira, licha ya Simba kubebwa kiwango chao ni ovyo kabisa bila msaada kama wa refa ama penalty kutokea inakuwa aibu ya mwaka,,uko kwako, uwanja wako na bado unategemea Rose mhando akuokoe🚮🚮🚮
 
REFA alivuta mlungula sio Bure alistahili kichapo tokea lini dakika za nyongeza zikawa na nyongeza nyingine? Simba walipofunga akamaliza na mpira, licha ya Simba kubebwa kiwango chao ni ovyo kabisa bila msaada kama wa refa ama penalty kutokea inakuwa aibu ya mwaka,,uko kwako, uwanja wako na bado unategemea Rose mhando akuokoe🚮🚮🚮
Trokaaa hujawahi kuona au ndo umeona leo?? Mtatoka vijaba vya roho..
Point tushachukua jiueni sasa ..
Kuna timu zinabebwa kama...refa kafanya yake kama ww ulibeti imekula kwako
 
REFA alivuta mlungula sio Bure alistahili kichapo tokea lini dakika za nyongeza zikawa na nyongeza nyingine? Simba walipofunga akamaliza na mpira, licha ya Simba kubebwa kiwango chao ni ovyo kabisa bila msaada kama wa refa ama penalty kutokea inakuwa aibu ya mwaka,,uko kwako, uwanja wako na bado unategemea Rose mhando akuokoe🚮🚮🚮
Kwenye za nyongeza humo ndani kama muda umepotea refa anatembeza boli mpaka muda utimie. Hii ni dunia nzima
 
Back
Top Bottom