Full Time: Simba SC 2-1 CS Sfaxien | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa National Stadium | Disemba 15,2024

Full Time: Simba SC 2-1 CS Sfaxien | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa National Stadium | Disemba 15,2024

Kwa kiwango kipi icho,,kikombe unachocheza yanga kacheza fainali msimu juzi sasa wewe kama makundi tu ni mtihani Tena ukiwa nyumbani kwako sasa utaweza kufanya kile alichokifanya yanga?
Yanga nye nye nyeeee! Kwenye ubora wake simba hicho kikombe alifika robot mara ngapi? Nyie kwenye ubora wenu kufika robo hapo mtihani.
 
Nidhamu ya waarabu imewaponza, toka awali walikuwa wanacheza kwa mbinu zao za kujiangusha mara waingize mipira miwili miwili na nafikiri walimjibu refa vibaya!, nashuku walimtukana sasa nayeye akaamua atumie mamlaka yake!.
kuongeza dakika 7 haikuwa shida ila kwenye nyongeza kaongeza zikafika 9, na ubovu goli limepatikana ktk dakika ambazo hazikuwa zile saba!.

Naweza sema refa kaishi usemi wa simba yani "Ubaya ubwela!"...🤣

Oni langu..
Ni muda sasa timu za kaskazini haswa waarabu wabadilishe nidhamu za uchezaji wao, figisu figisu za ajabu zitakuwa zinaleta tafrani kwa wapinzani na hata refa kama ilivyojitokeza hivi leo.
CAF wamekuwa wakiwalea hawa waarabu nafikiri waongee nao.
Na hiyo ndio dawa yao
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Timu amna pale nyie kenueni lakini mko ovyo sana rejea ushindi wenu uliopita wa penalty mechi iliyopita,,Rudi kwenye mechi hii mpaka Refa apewe chochote ndio mshinde na bado unajimwambafai,,acha ujinga basi!
Ww angalia kwanza pancha zako..kamdomoo kwa jirani katakuponza mtani
 
Yanga nye nye nyeeee! Kwenye ubora wake simba hicho kikombe alifika robot mara ngapi? Nyie kwenye ubora wenu kufika robo hapo mtihani.
Kumbe wewe una wazimu eti,,kucheza na kuishia robo robo kikombe cha akina mama wenzako wamecheza fainali,,kama unauwezo kacheze iyo fainali tukuone kama unatoboa kwa timu yako iyo
 
Kumbe wewe una wazimu eti,,kucheza na kuishia robo robo kikombe cha akina mama wenzako wamecheza fainali,,kama unauwezo kacheze iyo fainali tukuone kama unatoboa kwa timu yako iyo
Screenshot_20241215-185336.jpg
 
Back
Top Bottom