Lipuli FCKwani Kibu Yuko Timu gani?
Unaonekana ni Binti mrembo ila una tabia za Kiutopolo na KivyuraHaya mambo siyo, mnarudisha nyuma soka letu na kutia aibu Taifa.
Kulikuwa na haja gani ya kuchelewesha kumaliza mpira? Refa kanunulika waziwazi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lipuli FCKwani Kibu Yuko Timu gani?
Unaonekana ni Binti mrembo ila una tabia za Kiutopolo na KivyuraHaya mambo siyo, mnarudisha nyuma soka letu na kutia aibu Taifa.
Kulikuwa na haja gani ya kuchelewesha kumaliza mpira? Refa kanunulika waziwazi.
Yanga nye nye nyeeee! Kwenye ubora wake simba hicho kikombe alifika robot mara ngapi? Nyie kwenye ubora wenu kufika robo hapo mtihani.Kwa kiwango kipi icho,,kikombe unachocheza yanga kacheza fainali msimu juzi sasa wewe kama makundi tu ni mtihani Tena ukiwa nyumbani kwako sasa utaweza kufanya kile alichokifanya yanga?
Kufaaaa maana hatuna msaada...Jana uliona Kuna dk ziliongezwa juu ya nyongeza? Zilichezwa dk halali na sio zenu za Rose mhando
😂😂😂😂😂 Chief kuna timu hapo inapiga hesabu za 'tuki' 'waki'Kuna Zile Hesabu za shule tulikuwa Tunasoma zimaitwa sijui mlinganyoo..
Naona Hapa Ni 4 halafu ikiwa na GD YA -4
View attachment 3177425
Naona Hapa Inazidi Kungara tu..
View attachment 3177426
Any wei sijui hata Nilitaka Kusema Nini 🤣🤣🤣
Hizi Pombe Hizi 🤣🤣🤣 Furaha Tu
Na hiyo ndio dawa yaoNidhamu ya waarabu imewaponza, toka awali walikuwa wanacheza kwa mbinu zao za kujiangusha mara waingize mipira miwili miwili na nafikiri walimjibu refa vibaya!, nashuku walimtukana sasa nayeye akaamua atumie mamlaka yake!.
kuongeza dakika 7 haikuwa shida ila kwenye nyongeza kaongeza zikafika 9, na ubovu goli limepatikana ktk dakika ambazo hazikuwa zile saba!.
Naweza sema refa kaishi usemi wa simba yani "Ubaya ubwela!"...🤣
Oni langu..
Ni muda sasa timu za kaskazini haswa waarabu wabadilishe nidhamu za uchezaji wao, figisu figisu za ajabu zitakuwa zinaleta tafrani kwa wapinzani na hata refa kama ilivyojitokeza hivi leo.
CAF wamekuwa wakiwalea hawa waarabu nafikiri waongee nao.
Akuna atakayekufaa isipokuwa mtajifia wenyewe na timu yenu iyo ya kutegemea mbelekoKufaaaa maana hatuna msaada...
Si useme ni utwopolwo😂😂😂😂😂 Chief kuna timu hapo inapiga hesabu za 'tuki' 'waki'
Huwezi kuwa Simba au unaujua mpira ukasema hivi. Mimi ni mwanayanga. Simba kashinda. Game over.
Utopolo Unateseka ukiwa wapi?Jana mpira ulichezwa dakika 90?Wacheni ushamba na husda.Refa man of the match
Ww angalia kwanza pancha zako..kamdomoo kwa jirani katakuponza mtaniTimu amna pale nyie kenueni lakini mko ovyo sana rejea ushindi wenu uliopita wa penalty mechi iliyopita,,Rudi kwenye mechi hii mpaka Refa apewe chochote ndio mshinde na bado unajimwambafai,,acha ujinga basi!
Kumbe wewe una wazimu eti,,kucheza na kuishia robo robo kikombe cha akina mama wenzako wamecheza fainali,,kama unauwezo kacheze iyo fainali tukuone kama unatoboa kwa timu yako iyoYanga nye nye nyeeee! Kwenye ubora wake simba hicho kikombe alifika robot mara ngapi? Nyie kwenye ubora wenu kufika robo hapo mtihani.
Kumbe wewe una wazimu eti,,kucheza na kuishia robo robo kikombe cha akina mama wenzako wamecheza fainali,,kama unauwezo kacheze iyo fainali tukuone kama unatoboa kwa timu yako iyo
Mbumbumbu mkubwa wewe!Hii Michezo ya shirikisho kuwekwa LIVE ni kujaza server za jf kwa michezo isitokuwa na umuhimu admin hizi nyuzi ziondolewa, Live iwe kwa michezo muhimu kama AFCON, CHAN, CAFCL nk.
Mashabiki wa Uto wote wana dhambi ila za kwako zimehamishiwa kwa Labani og so huna dhambi tena, yaani dhambi zako zote zimefutwa 🤣mi sina dhambi mkuu..😅
Alisikika Mwarabu wa Jangwani KariakooRefa man of the match
Wenye wivu wajinyonge in Saida karoli voice 😅😅😂😂☺️☺️😊😊Na akikwea juu tena,kumshusha watafanya kazi sana