Vitu vya sheria havitaki maono na mtizamo Bali vinataka fact/sheria/Kanuni zinasemaje.Wanaanza kuangalia kwanza Head 2 Head, matokeo yenu nyinyi wawili mechi zote 2, ikitokea mko sawa, mfano Simba kashinda Congo 1, na Vita kashinda Dar 1 bila hapo wanakuja kigezo number 2 ambacho ndio Goal Difference, ikitokea GD bado mpo sawa vinakuja vigezo vingine mpaka number saba, nachelea kuviandika kwa kuchanganya nilisoma katika gazeti, kigezo cha mwisho number nane inachezeshwa droo kati yenu atakayeshinda ndio anaendelea