Full Time: Simba SC 3 - 0 Al Merrikh

Full Time: Simba SC 3 - 0 Al Merrikh

Vitu vya sheria havitaki maono na mtizamo Bali vinataka fact/sheria/Kanuni zinasemaje.Wanaanza kuangalia kwanza Head 2 Head, matokeo yenu nyinyi wawili mechi zote 2, ikitokea mko sawa, mfano Simba kashinda Congo 1, na Vita kashinda Dar 1 bila hapo wanakuja kigezo number 2 ambacho ndio Goal Difference, ikitokea GD bado mpo sawa vinakuja vigezo vingine mpaka number saba, nachelea kuviandika kwa kuchanganya nilisoma katika gazeti, kigezo cha mwisho number nane inachezeshwa droo kati yenu atakayeshinda ndio anaendelea
Nimeona TV moja imeandika "Simba yatangulia robo fainali" kwa herufi kubwa nikasema vyombo vya habari Tanzania ni janga.
 
Sawa

Sent from my SM-J720F using JamiiForums mobile app
Nliona jamaa mmoja anakushauri sana kulamba limao. Naona alikuwa sahihi. Lamba limao. Unaendeleaje lakini? Mpaka itatoka kwa haya inayoyafanya Simba.... Lazima itoke. Lamba limao tena....😜😜😜😜😜😜😜😁😁😁😁😁😁😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Anapita Vita kwa sababu anamagoli mengi zaidi ya simba wakilingana pointi 10 na ninaona uko mbele simba akijitahidi kati ya mechi zake hizo mbili ashinde moja na kufungwa moja atapita ila naona mwendo huu wa simba huko mbele anamaliza nafasi ya pili huku nafasi ya kwanza ikishikwa na wamisri. Hebu tusubiri tuone bado mechi hizi ni bado ni mapema wote watatu wana nafasi ya kufuzu yaani simba, Al ahly, na As Vita tusubiri tuone yajao yanafuraisha kama tukiwa makini na mechi yetu hii ya nyumbani zidi ya As vita tunatakiwa tushinde na sio sare ili tuwe na pointi 13 ili twende laundi ya pili, kila la heri Simba Mungu awe pamoja nawe.

View attachment 1727444

Mkuu magoli mengi unayatoa wapi.Au wewe una fomula za peke yako?
 

Attachments

  • Screenshot_20210316-223433_Chrome.jpg
    Screenshot_20210316-223433_Chrome.jpg
    16.4 KB · Views: 2
Mpira ni uchawi mkubwa sanaaa. Leo nimeota Simba hawajafuzu robo fainal.
hii ni baada ya kupigwa match zote mbili zilizobaki, hivyo akaringana na Vita club ila Vita ikasonga mbele kwa advantage ya magoli mengi[emoji16] keep waiting. hii coment itakuja kufanyiwa reference wakuu. najua mtasema mm utopolo. sawa ila ndoto zangu zinakuwaga 100%[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi ikitokea umeota unabakwa utajiandaa kwa vile ndoto zako huwa ni kweli 100%??
 
Vitu vya sheria havitaki maono na mtizamo Bali vinataka fact/sheria/Kanuni zinasemaje.Wanaanza kuangalia kwanza Head 2 Head, matokeo yenu nyinyi wawili mechi zote 2, ikitokea mko sawa, mfano Simba kashinda Congo 1, na Vita kashinda Dar 1 bila hapo wanakuja kigezo number 2 ambacho ndio Goal Difference, ikitokea GD bado mpo sawa vinakuja vigezo vingine mpaka number saba, nachelea kuviandika kwa kuchanganya nilisoma katika gazeti, kigezo cha mwisho number nane inachezeshwa droo kati yenu atakayeshinda ndio anaendelea
Screenshot_20210316-224219_Drive.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20210316-224219_Drive.jpg
    Screenshot_20210316-224219_Drive.jpg
    65.4 KB · Views: 3
Mpira ni uchawi mkubwa sanaaa. Leo nimeota Simba hawajafuzu robo fainal.
hii ni baada ya kupigwa match zote mbili zilizobaki, hivyo akaringana na Vita club ila Vita ikasonga mbele kwa advantage ya magoli mengi😁 keep waiting. hii coment itakuja kufanyiwa reference wakuu. najua mtasema mm utopolo. sawa ila ndoto zangu zinakuwaga 100%🤣🤣🤣
wewe member tumia akili basi sio kukaa kujichekea chekea tu
 
wazee wa mahesabu pigenii weee sijui H2H sijui Goal diference sisi lengo letu ni kufika nusu finali, tunamsubiri AS vita kwa haam kama ahadi ya binti wa kipemba vile
 
Leo mchana nilikuwa nafanya kikao nikaambiwa mpaka kufika mapumziko ni mbili bila,
Niliumia na kukasirishwa sana nikawaza leo lazima wewe jamaa uniletee mbwembwe,
Wangeruhusu kuingia uwanja wa taifa ningevaa kanzu nishabikie waarabu aisee...
mbona unawapenda sana waarabu
 
Anapita Vita kwa sababu anamagoli mengi zaidi ya simba wakilingana pointi 10 na ninaona uko mbele simba akijitahidi kati ya mechi zake hizo mbili ashinde moja na kufungwa moja atapita ila naona mwendo huu wa simba huko mbele anamaliza nafasi ya pili huku nafasi ya kwanza ikishikwa na wamisri. Hebu tusubiri tuone bado mechi hizi ni bado ni mapema wote watatu wana nafasi ya kufuzu yaani simba, Al ahly, na As Vita tusubiri tuone yajao yanafuraisha kama tukiwa makini na mechi yetu hii ya nyumbani zidi ya As vita tunatakiwa tushinde na sio sare ili tuwe na pointi 13 ili twende laundi ya pili, kila la heri Simba Mungu awe pamoja nawe.
Vita ana -1 Simba ana +5 unategemea Simba kufungwa 6 na Vita kufunga 8 mechi zilizobakia?
 
Simba atakuwa amefuzu robo fainali baada ya kufanya vyema mechi yake ya mwisho dhidi ya As Vita. Otherwise mambo yanaweza badilika na story ikawa nyingine, hivyo wasibweteke, mechi yao na Vita itakuwA Ni fainali amini usiamini, ninachangia Kama mpenda soka. Narudia Tena Simba wasibweteke, hiyo mechi Ni ngumu mno kuliko fikra za wengi. Mungu ibariki Simba, Mungu ibariki Tanzania, sisi Yanga tunaangalia na kujifunza mnakopitia, ili tukipata nafasi nasi tusiwaangushe watz.
Mechi yake ya mwisho dhidi ya As vita?
 
Back
Top Bottom