mwarabu feki
JF-Expert Member
- Feb 16, 2023
- 811
- 1,811
Pira lipiBado mupo.? Kwa Pira hili La wana Lunyasi nilidhani mshaondoka.!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pira lipiBado mupo.? Kwa Pira hili La wana Lunyasi nilidhani mshaondoka.!
Unaongea huku unakunya? Kwani hizo penalties zinakuja kama hatufiki kwenye box?Pinga kwa fact, wakati timu zingine hazina goli la penati , timu la wachambuzi tayar lina 4
Je hizo penati halali ama sio halali? Nafikiri tuishi humo kwanza mtaalamu!Timu amabyo raund ya 10 tu ya ligi imeshapewa penati 4
ikikosekana penati basi iwe kadi nyekundu kwa mpinzaniHii timu bila penati haiwezi kupata ushindi
bado penati 2 mbona nyingi jumla ziwe 3Bado 2
Namaanisha magolibado penati 2 mbona nyingi jumla ziwe 3
Lile bao ni tamu kama bao la video ya 399 ile mdada white anahema kama mbuzi.Tayari
labda ya penati ila kwa halali labda bado 2 zirudi iwe drooNamaanisha magoli
Unaotalabda ya penati ila kwa halali labda bado 2 zirudi iwe droo
5 bilaFT: 2-0
hii timu tia maji tia maji ishindwe rudishiwa magoliUnaota
Simama hapohapo, maana mmesatanguliaFT: 2-0
Nadhani anahitaji mshindani. January apewe mshindani.Ahoua ajiongeze, simba inahitaji ubunifu toka kwa namba 10, pasi aliyoipiga debora kwa kapombe, dk 3 nyuma ahoua alishindwa kupiga pasi kama hiyo kwa mukwala, ambayo ingemfanya mukwala abaki yeye na kipa..
Timu amabyo raund ya 10 tu ya ligi imeshapewa penati 4
Wakipata 10 mbunifu na kama mpanzu atakuwa na moto wake ule ule, simba itaongezeka ubora.Nadhani anahitaji mshindani. January apewe mshindani.
Kabisa makaveli10.Wakipata 10 mbunifu na kama mpanzu atakuwa na moto wake ule ule, simba itaongezeka ubora.