Dube ana goal ngapi mpaka sasa
😆Pakti moja tayari
Balua anapenda kufunga bao la TatuBalua anapenda kufunga
kama timu yako nzima ilipigwa ngapi acha kupigwa imepigwa mara ngap mfululizoKama KMC wabovu timu yako iliwafunga ngapi.
Mbona unajihami?!..bahasha fc, miamala scHapa Gongowazi watapata cha kusema
Utasikia beki wa KMC Ismail alimuwekea kimakusudi Ahoua.
Nani anajali?