Serious!??Al Ahly kashakula 2:0
Mama la mama anawatakia simba ushindiMama samia hoyeeeee
Morison Booonge la mchezajTungekuwa tunaongoza 3 au 4 kabisa muda huu. Asante CHAMA... Morison ni bonge la player.[emoji95]
Habari ndio hiyo mkuu.Serious!??
Soma iyonyau analambwa hii mechi anajichelewesha tu
hakuna gemu hapa kuna upuuzi mtupuBonge la gem
Lakin huwa ni mzuri sana kuharibu mipango ya timu pinzani.Bora Mzamiru hajaanza, anapotezaga mipira sana