singsang
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 435
- 642
Hom
Hongeraa mama Samia kwa kutuletea ushindiMama samia hoyeeeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongeraa mama Samia kwa kutuletea ushindiMama samia hoyeeeee
Wakuu mpira ni nyoko aisee.
Mpaka sasa Al Ahly keshapigwa mbili bila na Ala Mareick.
@Godfather huyu Mugalu anazingua score board ingekua 3 sahivi hapo ndo unaona umuhimu wa kagere,ila Morrison wa moto Sana leoSema huyu Mugalu fala sana, Chama selfish Sana
Matokeo yoyote game la Ahly na Mereikh hayana impact kwa Simba kuingia robo fainali. Simba anachotakiwa ni ushindi au sare, baasi!Ahly wasipate ushindi hii game.
Matangazo ya mpira kwa runinga, yapatikanwa wapi?japo wanaongoza kwa bao 2 lkn bado simba hawajatulia kuna tatizo nadhani,
mpangilio wa mashambulizi sio mazuri kabisa.
Chama mzito kufanya maamuziSema huyu Mugalu fala sana, Chama selfish Sana
Dkk 45 zingine bado ,Simba ikimkwepa Mamelodi basi Nusu fainali watafika but bado mpira haujaishaChamaaaa 2-1.
Refa amalize tu mpira, tushamkwepa Mamelod
Bora kua fala mkuu kuliko kua selfish. Jamaa anazingua sana ...fala anarekebishika...selfish hawez mana anajfikiria yeye tu kua supastaa na wakat team work ndio mpango mzimaSema huyu Mugalu fala sana, Chama selfish Sana
HomHongeraa mama Samia kwa kutuletea ushindi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]simba leo anakufa gori 2 bila kama amesimama