Tumsamehe kwa leo mkuuMugalu salamu za kmmke zikufikie popote ulipo jibwa wee
Wameingia uwanjani na coaster, lile basi la Azam halikuwabeba wachezaji.Simba aliwakodishia Basi la Happy Nation wakalikataa wakachukua kivyao la Friends wao Azam. Anyway vyovyote iwavyo sawa[emoji106][emoji106][emoji106]
Mchezaji anaongoza kupoteza nafasi halafu anaanza kila mechi hawa makocha wakati mwingine wanajitafutia mabalaa wenyewe.Al Merrick alifunga 1 akikosa mengi
ana hold ili iweje sasa,kwani yeye mido?Kuna watu wanakwambia oooh Mugalu anajua kohold mipira huyu sio striker tumepigwa hakuna mchezaji
Jamaa si anacheza Nawa Congo Wenzake Kaka.Mugalu salamu za kmmke zikufikie popote ulipo jibwa wee