zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
simba ama nyauHatari kwa simba, daa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
simba ama nyauHatari kwa simba, daa
Unateseka ukiwa wapi?leo mtajua kwamba hamjui
Achaga dharauHalafu unaskia watu wanataka manula wamnunue kwa bei ile
mimi niteseke tena uliza unafuraha ukiwa wapi? timu as vitalUnateseka ukiwa wapi?
Simba wajitahidi kumaliza 1st kwenye group wakacheze na wale waarabu wa Algeria CR Beluizdad wana nafuu.robo umepangwa na Group B,ukishika #2 unacheza na Mamelod
Muonemimi niteseke tena uliza unafuraha ukiwa wapi? timu as vital
eti wawa nae kamanda hahahahaha huwa anagalagazwa balaa analamba nyasiIla huyu Mugalu atakuwa ana limbwata sio bure....yaani anasifiwa sana halafu uwanjani ni low class striker....
Anapangwa kila mechi....itakuwa anatumia vumbi la Congo.
kweli mkuu maana nyau anapigwa 2-0 na hakuna wa kulalamika ndo mpiraUsilaumu mkuu huu ni mpira
hilo galasa bado mnalipamba tuDaaah Chama nini jaman
we dada ni mpuuzi sanaleo wawa na onyango mmoja atalamba nyasi ama kupigiza upara chini
Muhindi anakupiga mapema tu.Double Chance kwa AS vita
Muone hafungwimtu hapakweli mkuu maana nyau anapigwa 2-0 na hakuna wa kulalamika ndo mpira
Kama kawaida yake.Seriously Chama!
Unatuboa sasa