kufungwa ni goli 1 ww unachakazwa sio kufungwa goli zaidi ya 2 zinakuhusu unatoka na kutokaMuone hafungwimtu hapa
Ndo hivyoSeriously Chama!
Unatuboa sasa
mie mpuuzi sana ila sijakufikia wewe beki 3 na chama anaruka ruka tuwe dada ni mpuuzi sana
jamaa wanawapiga 2-0 muumba awaongozeHasira za kumpoteza chuma tutazimalizia hapa leo.
Sema shangwe sio hasiraHasira za kumpoteza chuma tutazimalizia hapa leo.
Goli la Nne la WaZi mnakosa... MikiaSiamini bado ni 0-0
π π π π π π π
Dogo sasa fanya hivi, rudisha simu kwa baba usije ukamaliza bando.jamaa wanawapiga 2-0 muumba awaongoze
Achieni basi, tunajua mmebanaGoli la Nne la WaZi mnakosa... Mikia