Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Ukibeza timu zinazofungwa na timu utajikuta unaitukana na timu yako.Kweli hapo hamna timu yani hadi kibu amewafunga!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukibeza timu zinazofungwa na timu utajikuta unaitukana na timu yako.Kweli hapo hamna timu yani hadi kibu amewafunga!
Kabisa mkuu..kua na uchu wakufunga inasaidia ila Ina disadvantage ukikutana na timu ambayo unaitaj nafasi Moja tu kumaliza mchezo na hauna nafasi nyingiNi kweli mkuu inaonekana kuna kauchoyo flan hivi,kuna move Mukwala angemuachia ahoua angefunga yeye akapiga nje,hayo mambo huwa yanaigharimu simba,inabidi wajirekebishe
Lidodoma limezidi kuwa lichovu mno bora hata Ken goldUkibeza timu zinazofungwa na timu utajikuta unaitukana na timu yako.
Siku mlipocheza nao mliwachagulia kikosi, wachezaji zaidi ya 6 wa kikosi cha kwanza walipumzishwa na magoli ya mkono mlifungaHao ndo mbeleko yenu jumlisha wajumbe wa bodi bila hao mngekua mkiani mwa msimamo wa ligi
Labda kuna mechi ya shirikisho la CRDB hapo kati ndiyo atakayokosaInawezekana maana mechi na Yanga alipata kadi ya njano pia
Siku mlipocheza nao mliwachagulia kikosi, wachezaji zaidi ya 6 wa kikosi cha kwanza walipumzishwa na magoli ya mkono mlifunga
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mtarejea kwenye lawama zenu TU kama kawaida MDA SI mrefu😄😄😄Kama timu yako haijawahi kufungwa 6-0 na Simba nyoosha mkono
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mtarejea kwenye lawama zenu TU kama kawaida MDA SI mrefu😄😄😄Kama timu yako haijawahi kufungwa 6-0 na Simba nyoosha mkono
Katesekee huko na mwiko wako nyuma🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mtarejea kwenye lawama zenu TU kama kawaida MDA SI mrefu😄😄😄
Mwaka 1977 utopolo walipigwa sita mtungi, yaani 6-0.
🤣🤣🤣🤣Tawi letu Leo hawajawakazia?😄mkitoa nao draw oh!... Wanakamia😃mkichapwa vilio kwa refa,😭😭😭😭...mkishinda sasa😄😄😄😄😄😄😄😄nguvu mbili bhana😃Katesekee huko na mwiko wako nyuma
Tawi lenu limefungwa 6 unakuja kujichekesha kama ww hukufungwa 6
Kama timu yako haijawahi kufungwa 6-0 na Simba nyoosha mkonoHata hawa pia ilikua hivyo hivyo mkuuView attachment 3270618
Niambie Mtani. Naona magoli ka yote. Lol
Nguvu mbili leo wanasema haya magoli yaliwahusu yanga🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mnafurahisha😄kwani inakuaje vya moto mnakimbia ila viporo mnashobo navyo?😃
Au basiSimba leo lazima wakalishwe viwili tu
Kama timu yako haijawahi kufungwa 6-0 na Simba nyoosha mkono