kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
Ft 6- 0
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu uchomoe kisha muingizie tena huo mwiko labda kauzoeaMbona una mwiko nyuma?
Simba inatisha, na hapo wengi wwa wachezaji wake wako kwenye mfungo wa RamadhaniNBC Premier League leo Ijumaa
Saa 10:00 jioni, Simba SC watakuwa dimba la KMC Complex wakiwakaribisha Dodoma Jiji.
Hii ni mechi ya kiporo je ni Mnyama Simba ama Walima Zabibu nani kukitafuna kiporo hiki?
Vikosi vya timu zote
Mechi imeanza (KickOff)
09' Milango bado haijafunguka pande zote, Simba inatuma mashambulizi ya mara kwa mara langoni mwa Dodoma Jiji
10' Mechi imesimama, Kipa wa Dodoma Jiji Ngeleka anatibiwa
17' Goooal Mpanzu
23' Goooal Ahoua
45+1' Goooal Ahoua
Mapuziko (Half Time)
Simba SC 3-Dodoma Jiji
Kipindi cha pili kimeanza
Simba SC 3-Dodoma Jiji
46’ Gooal Mukwala
54' Goooal Kibu D
Mpira umeisha.. ingekua 7 ila mpanzu chance ya mwisho alitaka kufunga yeye na wakati alikua na nafasi nzuri ya kumpasia ahoua ama kibu...hii inaonesha Kuna uchu mkali wa kufunga ndani ya Simba ...Hilo lipo Tu chill[emoji12]
Shost vipi mbona makasiriko
Ni kweli mkuu inaonekana kuna kauchoyo flan hivi,kuna move Mukwala angemuachia ahoua angefunga yeye akapiga nje,hayo mambo huwa yanaigharimu simba,inabidi wajirekebisheMpira umeisha.. ingekua 7 ila mpanzu chance ya mwisho alitaka kufunga yeye na wakati alikua na nafasi nzuri ya kumpasia ahoua ama kibu...hii inaonesha Kuna uchu mkali wa kufunga ndani ya Simba ...
6-0
Uwezo wa niniUwezo
Kama timu yako haijawahi kufungwa 6-0 na Simba nyoosha mkonoNguvu mbili leo wanasema haya magoli yaliwahusu yanga🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mnafurahisha😄kwani inakuaje vya moto mnakimbia ila viporo mnashobo navyo?😃
Jamaa alirusha ngumu ikafuruga mawimbi yoteGoli la Kibu limeharibu mitambo ya Azam
Baada ya makubaliano ya pande zote kwamba Dodoma ikubali kufingwa mengi ili kuiheshimisha Simba kuwa hawakuikimbia Yanga.Utopolo mmekimbia ? Mbona kimya.?
Kweli hapo hamna timu yani hadi kibu amewafunga!Goli la Kibu limeharibu mitambo ya Azam