The Conscious
JF-Expert Member
- Mar 18, 2021
- 740
- 1,218
Jamaa ni wajanja sana,naona wanalipa ubaya ubwela aloufanya Simba kwa wao kushindwa kuonesha mechi ya derby baada ya kuipromote sanaWanajifanya hitlafu kumbe wanapitisha matangazo yao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa ni wajanja sana,naona wanalipa ubaya ubwela aloufanya Simba kwa wao kushindwa kuonesha mechi ya derby baada ya kuipromote sanaWanajifanya hitlafu kumbe wanapitisha matangazo yao
Hata hao nao si wanatumia matangazo ya Azam?Hata fawaNews imekata
6-0Mnaosikiliza TBC Taifa ubao unasomekaje?
The 3 MuskerteesHiki kipigo unaona kabisa kilikuwa kiwahusu akina fulani…wana bahatiView attachment 3270258
Nimeingia bila VPN kwenye desktop.Nimejaribu kwenye simu imegoma.Mbona Fawa news inaniomba VPN nyie mnafanyaje
OkNimeingia bila VPN kwenye desktop.Nimejaribu kwenye simu imegoma.
Fawanews wanaitoa AzamHata fawaNews imekata
Hilo lipo Tu chill😜Tumekosa kosa goli la 7...
Kuna chawa katuchoma nnFawanews wanaitoa Azam
Acha kutuongopea. Wewe ni Utopolo original kabisa. Rejea post yako No. 11 hapo juu.Mimi ni shabiki wa simba! Ila sina imani na hii timu ya Dodoma Jiji. Huenda imepewa bahasha ili tushinde goli nyingi na hivyo kuondoa ile aibu ya kususia mechi na watani wetu Yanga.
Mbona una mwiko nyuma?Mimi ni shabiki wa simba! Ila sina imani na hii timu ya Dodoma Jiji. Huenda imepewa bahasha ili tushinde goli nyingi na hivyo kuondoa ile aibu ya kususia mechi na watani wetu Yanga.