Full Time: Simba SC 6-0 Dodoma Jiji FC | NBC Premier League | KMC Complex | 14.03.2025

Full Time: Simba SC 6-0 Dodoma Jiji FC | NBC Premier League | KMC Complex | 14.03.2025

NBC Premier League leo Ijumaa

Saa 10:00 jioni, Simba SC watakuwa dimba la KMC Complex wakiwakaribisha Dodoma Jiji.

Hii ni mechi ya kiporo je ni Mnyama Simba ama Walima Zabibu nani kukitafuna kiporo hiki?

Vikosi vya timu zote
Mechi imeanza (KickOff)

09' Milango bado haijafunguka pande zote, Simba inatuma mashambulizi ya mara kwa mara langoni mwa Dodoma Jiji
10' Mechi imesimama, Kipa wa Dodoma Jiji Ngeleka anatibiwa
17' Goooal Mpanzu
23' Goooal Ahoua
45+1' Goooal Ahoua

Mapuziko (Half Time)

Simba SC 3-Dodoma Jiji
Kipindi cha pili kimeanza

Simba SC 3-Dodoma Jiji

46’ Gooal Mukwala
54' Goooal Kibu D
Tuna taka kifurushi cha wiki
 
Here we are
F-6MCbzW4AAcci9.jpg

Kama timu yako haijawahi kufungwa 6-0 na Simba nyoosha mkono
 
Mbona Simba uwa wana ahidiwa fedha ndefu na wanatandikwa kila wakikutana.
Sasa kwa Simba hii ata uhaidi bilion moja kwa kila mchezaji itafungwa na Yanga.
Quality ya Simba ipo chini dhidi ya Yanga ya sasa.
Sawa klabu bingwa Afrika robo fainali....Yanga vs Nchemba fc
 
Mtu anieleweshe kwa nini Hamza ameitafuta ile kadi ya njano. Tuliona Kapombe aliitafuta yake juzi ili akose mechi hii aanze upya. Sasa Hamza naye ameitafuta yake au vipi maana mechi ijayo ya ligi inaweza kuwa dhidi ya Yanga.
 
Hawa Dodoma jiji wameingilia tu kipigo kisichowahusu ona sasa. Lakini ngoja tumkanye kwanza mtoto, tutakuja Kwa mkubwa
 
Mtu anieleweshe kwa nini Hamza ameitafuta ile kadi ya njano. Tuliona Kapombe aliitafuta yake juzi ili akose mechi hii aanze upya. Sasa Hamza naye ameitafuta yake au vipi maana mechi ijayo ya ligi inaweza kuwa dhidi ya Yanga.
Inawezekana maana mechi na Yanga alipata kadi ya njano pia
 
Back
Top Bottom