Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
PoleniDodoma jiji walipata ajali, simba haijacheza kistaarab
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PoleniDodoma jiji walipata ajali, simba haijacheza kistaarab
Tuna taka kifurushi cha wikiNBC Premier League leo Ijumaa
Saa 10:00 jioni, Simba SC watakuwa dimba la KMC Complex wakiwakaribisha Dodoma Jiji.
Hii ni mechi ya kiporo je ni Mnyama Simba ama Walima Zabibu nani kukitafuna kiporo hiki?
Vikosi vya timu zote
Mechi imeanza (KickOff)
09' Milango bado haijafunguka pande zote, Simba inatuma mashambulizi ya mara kwa mara langoni mwa Dodoma Jiji
10' Mechi imesimama, Kipa wa Dodoma Jiji Ngeleka anatibiwa
17' Goooal Mpanzu
23' Goooal Ahoua
45+1' Goooal Ahoua
Mapuziko (Half Time)
Simba SC 3-Dodoma Jiji
Kipindi cha pili kimeanza
Simba SC 3-Dodoma Jiji
46’ Gooal Mukwala
54' Goooal Kibu D
Kama timu yako haijawahi kufungwa 6-0 na Simba nyoosha mkono
Msikimbie enyi 🐸🐸mkimaliza kikao mkuje mnyama anawasubiri mlangoniHere we areView attachment 3270331
Msikimbie enyi 🐸🐸mkimaliza kikao mkuje mnyama anawasubiri mlangoni View attachment 3270334
kibu wa kimataifaKweli hapo hamna timu yani hadi kibu amewafunga!
Labda mataifa ya msumbiji na Zimbabwekibu wa kimataifa
Kijana muaminifu na mtiifu kwa Simba. Hivyo msimshangae, leo ana mission moja tu ya kuiheshimisha SimbaIbrahim Ajib Migomba soka ndio limemkimbia tayari
Angekimbia mngepewa points 3 na goli 3....Aliyekimbia ni huyo huyo picha ya mnyama
Angekimbia mngepewa points 3 na goli 3....
Au mmeshapewa kimya kimya?
Ubaya Ubwela 😂😂
Hatushindani na tief efu bali tunasindana na 🐸🐸...Tatizo mtaenda choma moto ofisi za TFF
Hatushindani na tief efu bali tunasindana na 🐸🐸...
Malizeni kikao tushushie kiporo maadam kinalika
Pole sana kwa maumivu ila yakizidi muone daktariHao ndo mbeleko yenu jumlisha wajumbe wa bodi bila hao mngekua mkiani mwa msimamo wa ligi
Sawa klabu bingwa Afrika robo fainali....Yanga vs Nchemba fcMbona Simba uwa wana ahidiwa fedha ndefu na wanatandikwa kila wakikutana.
Sasa kwa Simba hii ata uhaidi bilion moja kwa kila mchezaji itafungwa na Yanga.
Quality ya Simba ipo chini dhidi ya Yanga ya sasa.
Kwani hizo ni 6-0?unaringia 5-1 wakati 5-0 hujawahi kulipa?Here we areView attachment 3270331
Here we areView attachment 3270331
Inawezekana maana mechi na Yanga alipata kadi ya njano piaMtu anieleweshe kwa nini Hamza ameitafuta ile kadi ya njano. Tuliona Kapombe aliitafuta yake juzi ili akose mechi hii aanze upya. Sasa Hamza naye ameitafuta yake au vipi maana mechi ijayo ya ligi inaweza kuwa dhidi ya Yanga.