The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Dodoma leo kazi wanayo Chuma ya pili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulikimbia kulogwa na wachawi YangaWazee kumbe mpira mnaweza, sasa siku ile mlikimbia nini?
Kukimbia ni propaganda, Simba hakukimbia bali mechi ilifutwa kusubiri tarehe nyingine. Atakayekimbia ni yule ambaye uwanjani kuna waamuzi, kamisaa na match officials wengineWazee kumbe mpira mnaweza, sasa siku ile mlikimbia nini?
UloziWazee kumbe mpira mnaweza, sasa siku ile mlikimbia nini?
Mbona Simba uwa wana ahidiwa fedha ndefu na wanatandikwa kila wakikutana.Ukitaka kuzizuia Simba na Yanga ni mwendo wa kimya bila mbwembwe na maneno mengi, timu ikishaadiwa ela tu tayari wanapoteza concentration ya mchezo.
Kabisa yaani Mkuu. 😃Mgomo wa mechi ngumu
LolMnyama Mkubwa Mwituni, Simba Sports
Piga hao shosti zake na Utopolo 3-0
Ndio uwezo yaani ndio quality iliyopo, Bado mnajenga timu.Shida ya Simba ni kukosa sana magoli
Na kimataifa tuko kwa kazi ya refa na bodi ya mashindano au?Ndio uwezo yaani ndio quality iliyopo, Bado mnajenga timu.
Ata nafasi mliyopo nikazi kubwa ya marefa na bodi ya ligi.
Tabora United waliahidiwa kwa Yanga na wakashinda kweliMbona Simba uwa wana ahidiwa fedha ndefu na wanatandikwa kila wakikutana.
Sasa kwa Simba hii ata uhaidi bilion moja kwa kila mchezaji itafungwa na Yanga.
Quality ya Simba ipo chini dhidi ya Yanga ya sasa.
Ilikuwaje mkatuzuia kufanya mazoezi kama mnatumudu?Mbona Simba uwa wana ahidiwa fedha ndefu na wanatandikwa kila wakikutana.
Sasa kwa Simba hii ata uhaidi bilion moja kwa kila mchezaji itafungwa na Yanga.
Quality ya Simba ipo chini dhidi ya Yanga ya sasa.
Akikujibu Naomba nipigieNa kimataifa tuko kwa kazi ya refa na bodi ya mashindano au?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app