mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 6,230
- 9,889
Halafu kuna wajinga wanasema Kibu hafai eti Hana goli😜
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kombe la kina mama aliitwi kimataifa.Na kimataifa tuko kwa kazi ya refa na bodi ya mashindano au?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Mechi ngumu kwa macho ,rahisi kwa sura
Nenda Simba ,sisi daima tuko nyuma yako
Kwa timu ipi?😄😄 Ila tushukuru Simba inapata upinzani WA kweli .Unawajenga.mil 5 tunazo?😆
Hawa washirikina kama walikua wanaamini ushirikina wao utafanya kazi basi wangeruhusu timu ya Simba iingie uwanjani. Ndivyo ambavyo uanaume ulivyo, wewe unaamini uchawi wako utafanya kazi hata timu ikiingia kufanya mazoezi, basi wangeachwa wafanye mazoezi halafu mwisho wa siku tungeona nani uchawi wake umeleta faida. Kuwazuia Ina mana walijua uchawi unaenda kutenguliwa na kisomo Cha QuranUlozi
Tabora tangu ianzishwe ndio imepata matokeo msimu huu ni kama Simba tu ilisha wahi kutokea akapata matokeo kwa Yanga.Tabora United waliahidiwa kwa Yanga na wakashinda kweli
Hapana kaka mimi mnyama ,ulitaka kusema nini mkuuKwani wewe mwiko?
Kama mbuzi wanasaidia, basi msikimbie mechi itakayopangwa na bodi ya ligi, muingie nao 😄Tukiwa na hawa hamna linaloharibika
Dodoma jiji ilipocheza na Utopolo ilishinda ngapi?tena wachezaji 6 wa kikosi cha kwanza walipumzishwa bila sababu kama ile ya Singida tuNdio uwezo yaani ndio quality iliyopo, Bado mnajenga timu.
Ata nafasi mliyopo nikazi kubwa ya marefa na bodi ya ligi.
Shida ya Simba ni kukosa sana magoli
Mbona hamkuludi na kombe?....ukisikia kujitekenya na kucheka mwenyewe ndo hukuKombe la kina mama aliitwi kimataifa.
Kule Kombe la Kina Mama tulibutua timu zote, hakuna timu tuli iacha.
Na sisi hatujivunii hatua tuliyoifikia kwenye kombe lile.
Utopolo mna propaganda sana. Timu zote wakati kule mlikwenda kama luza toka klabu Bingwa na fainali mlibamizwa.Kule Kombe la Kina Mama tulibutua timu zote, hakuna timu tuli iacha.