Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Madrid haitolewagi kwenye makundi 🤣Tabora tangu ianzishwe ndio imepata matokeo msimu huu ni kama Simba tu ilisha wahi kutokea akapata matokeo kwa Yanga.
Yanga ndio kiboko wa timu zote apa Tanzania, Ni kama Madrid na Uefa Champion league.